Hapa chini ni nukuu halisi kutokea kwa baba Askofu Lusekelo:
Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:
"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."
Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.
Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.
Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.
Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.
Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.
Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.
Eeh Mola wetu, ukatusikie.
Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:
"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."
Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.
Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.
Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.
Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.
Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.
Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.
Eeh Mola wetu, ukatusikie.