Kesi ya Mbowe: Mzee wa Upako anena Mazito

Kesi ya Mbowe: Mzee wa Upako anena Mazito

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
34,775
Reaction score
46,058
Hapa chini ni nukuu halisi kutokea kwa baba Askofu Lusekelo:

IMG_20211221_130817_173.jpg


Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:

"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."

IMG_20211221_162321_213.jpg


Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.

Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.

Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.

Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.

Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.

Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.

Eeh Mola wetu, ukatusikie.
 
Hapa chini ni nukuu halisi kutokea kwa baba Askofu Lusekelo:

View attachment 2052368

Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:

"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."

Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.

Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.

Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.

Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.

Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.

Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.

Eeh Mola wetu, ukatusikie.
Ameen
 
Hapa chini ni nukuu halisi kutokea kwa baba Askofu Lusekelo:

View attachment 2052368

Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:

"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."

Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.

Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.

Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.

Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.

Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.

Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.

Eeh Mola wetu, ukatusikie.
Huo ndio mwanzo wa mwisho wa Mtemi Hangaya. Hana uwezo wa kuongoza, anaongozwa na kina Kingai.
 
Huo ndio mwanzo wa mwisho wa Mtemi Hangaya. Hana uwezo wa kuongoza, anaongozwa na kina Kingai.
Hapana ni hawara yake Jakaya ndiye shida! Jakaya alitaka kupitia kwake ili ambuldoze Jiwe akajikwaa vikali! Na macho mlegezo akaanza kuwa ignored!
Hivi wanawake wana shida gani? jamaa akishapiga mara moja ukipanda ngazi tema milele kama uchafu!
 
Huo ndio mwanzo wa mwisho wa Mtemi Hangaya. Hana uwezo wa kuongoza, anaongozwa na kina Kingai.

Hii no habari mbaya sana kwa viroboto, wahuni na matapeli kutoka ule upande mwingine.
 
Hapa chini ni nukuu halisi kutokea kwa baba Askofu Lusekelo:

View attachment 2052368

Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:

"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."

Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.

Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.

Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.

Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.

Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.

Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.

Eeh Mola wetu, ukatusikie.
Mbona msukuma mwenzake Magufuli hakuwahi kuambiwa hiv
USSR
 
Hapa chini ni nukuu halisi kutokea kwa baba Askofu Lusekelo:

View attachment 2052368

Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:

"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."

Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.

Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.

Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.

Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.

Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.

Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.

Eeh Mola wetu, ukatusikie.
Huyu mzee kawakomalia sana wahuni+ viroboto
 
Hapa chini ni nukuu halisi kutokea kwa baba Askofu Lusekelo:

View attachment 2052368

Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:

"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."

Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.

Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.

Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.

Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.

Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.

Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.

Eeh Mola wetu, ukatusikie.
God is Great
 
Mbona msukuma mwenzake Magufuli hakuwahi kuambiwa hiv
USSR

Mmeshaanza kuweweseka. Msitake kuwafitinisha wasukuma. Wengine tumeoa huko na wasukuma ni ma shemeji zetu.

Tofautisha wasukuma na genge lenu la kitapeli la viroboto na wahuni.
 
Back
Top Bottom