Ndio mkuu manji ni teja na wanaomteteawamemuweka ndani ili kujua kama atapata arosto au la, baada ya kukaa ndani kwa muda arosto ilipoanza kuuma mwilini ikabidi awe mdogo tu. usiongee kitu ambacho haukijui, manji hawezi kuja kwako leo na kusema anatumia. sema kinachomsaidia ni kwamba kosa aliloshitakiwa nalo ni dogo sana, kosa la kutumia madawa, atalipa faini au kifungo kidogo option, ila angekuwa anauza, ni kifungo cha maisha na hakuna msaliamtume. kutumia anatumia kweli tusitetee bure, kama haujui, subiri muda si mrefu utajua.