Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
I said it!
So many things that opposition parties were supposed to make it right before elections!
Ona sasa kila siku kuna kitu kipya kinachoonyesha kuna matatizo katika, KATIBA, TUME YA UCHAGUZI, SHERIA ZA UCHAGUZI n.k
why then these so called opposition parties they decided to go on for elections? huyu aliyefungua kesi hapa si kuwa ana vi-nullify kuwa kuwa hivi vyama vya upinzani haviko kwa maslahi ya watanzania? bali matumbo yao? utaingiaje kwenye uchaguzi na kuhangaika kote huku, wakati hata kama ukishinda mshindi atatangazwa CCM? sheria inasema na iko very clear kuwa NEC wakisema fulani mshindi that is final! we have learned from Kenya!
I am asking and will always ask, and even Slaa knows this-hatashinda!!!, achilia mbali followers kuwa BAADHI YA WATANZANIA NI WAJINGA NA MAMBUMBUMBU kutaka mabadiliko wakati platform ya mabadiliko haipo!
I remain to be corrected
So many things that opposition parties were supposed to make it right before elections!
Ona sasa kila siku kuna kitu kipya kinachoonyesha kuna matatizo katika, KATIBA, TUME YA UCHAGUZI, SHERIA ZA UCHAGUZI n.k
why then these so called opposition parties they decided to go on for elections? huyu aliyefungua kesi hapa si kuwa ana vi-nullify kuwa kuwa hivi vyama vya upinzani haviko kwa maslahi ya watanzania? bali matumbo yao? utaingiaje kwenye uchaguzi na kuhangaika kote huku, wakati hata kama ukishinda mshindi atatangazwa CCM? sheria inasema na iko very clear kuwa NEC wakisema fulani mshindi that is final! we have learned from Kenya!
I am asking and will always ask, and even Slaa knows this-hatashinda!!!, achilia mbali followers kuwa BAADHI YA WATANZANIA NI WAJINGA NA MAMBUMBUMBU kutaka mabadiliko wakati platform ya mabadiliko haipo!
I remain to be corrected