Elections 2010 Kesi ya kuhoji matokeo ya urais yafunguliwa

I said it!

So many things that opposition parties were supposed to make it right before elections!

Ona sasa kila siku kuna kitu kipya kinachoonyesha kuna matatizo katika, KATIBA, TUME YA UCHAGUZI, SHERIA ZA UCHAGUZI n.k

why then these so called opposition parties they decided to go on for elections? huyu aliyefungua kesi hapa si kuwa ana vi-nullify kuwa kuwa hivi vyama vya upinzani haviko kwa maslahi ya watanzania? bali matumbo yao? utaingiaje kwenye uchaguzi na kuhangaika kote huku, wakati hata kama ukishinda mshindi atatangazwa CCM? sheria inasema na iko very clear kuwa NEC wakisema fulani mshindi that is final! we have learned from Kenya!

I am asking and will always ask, and even Slaa knows this-hatashinda!!!, achilia mbali followers kuwa BAADHI YA WATANZANIA NI WAJINGA NA MAMBUMBUMBU kutaka mabadiliko wakati platform ya mabadiliko haipo!



I remain to be corrected
 
I said it! <br />
I am asking and will always ask, and even Slaa knows this-hatashinda!!!, achilia mbali followers kuwa BAADHI YA WATANZANIA NI WAJINGA NA MAMBUMBUMBU kutaka mabadiliko wakati platform ya mabadiliko haipo! &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
I remain to be corrected
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt; Waberoya, ni ukweli usiopingika kuwa the playing field is not level, pia wanagombea kisu cha makali kuwili huku mmoja ameshika mpini na mwingine ameshika upande wenye makali kuwili.
Lakini pia usisahau, kila lenye mwanzo huwa lina mwisho. Hakuna marefu yasiyo na mwisho. Hakuna makali yasiyo na ncha, barabara ndefu haikosi kona, mbio za sakafuni huishia ukingoni. Kimya kingi kina mshindo mkuu, you can fool some people for sometime but you can't fool all the people all the time.

Mwandishi Shaffi Adam Shaffi katika riwaya yake ya 'KULI' ukurasa wa 99 amesema "Yana Mwisho Haya!".

Hivyo pamoja na advantage zote za CCM, terehe 31 ndio hiyo siku aiyeisema mwandishi vitabu Shafi. Ndio siku ya mwisho ya lenye mwanzo, ndio siku ya ukingoni kwa mbio za sakafuni, ndio siku ya mshindo mkuu wa kimya kingi, ndio siku ya kufika kwenye ncha ya makali ya CCM. Hii ni siku Watanzania watauthibitishia ulimwengu wanaweza kusema "basi!" na amini usiamini siku hiyo itakuwa ndio basi ya ukweli!.
 
<br />
<br />
sorry Wabe, natumia hii mobile version bado inasumbua nimesharekebisha.

Ok, nimekupata mkuu, no problem

Kila nikikaa chini na kutafakari naona hofu na kiza kimetanda. Inakuwa kama ile penati ya Ghana dhidi ya Uruguay aliyokosa Asamoah! kushinda nataka lakini akili hainipi wala moyo hauna amani. Ikiwa wapinzani watashinda na hali hii inayoonekana dhahiri, basi I think I will be another man not easy to say now.

Lets wait!
 
Back
Top Bottom