Gut
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 2,852
- 3,404
Mwache stoke nchii hii wenye fedha ni kila kitu.Mwizi wa kuku na pikipiki wanchomwa moto.Ooh my God, Shoshe anatoka sasa
Mwache stoke nchii hii wenye fedha ni kila kitu.Mwizi wa kuku na pikipiki wanchomwa moto.Ooh my God, Shoshe anatoka sasa
Ni nchi gani hizo?
Unamaanisha akili ndogo kuendesha akili kubwa!?
Ni vilaza kweli we fika pale ofisini kwao waulize faili la kesi walizowahi kushida hawana watabaki wanakuangalia tu ni shida kweli.kazi ipo,which is which,ina maana ofisi ya DPP ni vilaza?i just don't get it
Siyo hivyo tu, watu ambao ni MORE capable, hawawezi kufanyakazi kwa salary kiduchu huko Serikalini. Ili uishi vema uwe mtoro kazini au ufanye mambo ya ovyo, hivyo watu makini hujitoa serikalini. Sababu kuu ni mishahara midogo, ili uweze kujikimu lazima ufanye mambo ya kifisadi, tatizo linaanzia hapo. Sasa kwa watu waadilifu, hupenda kujiajiri au kuajiriwa sekta binafsi.Ndio tatizo la kuajiri vilaza serikalini huku wakiacha vichwa wanaajiriwa na sekta binafsi. Hii ipo tofauti na nchi nyingi zilizoendelea duniani ambapo 'vichwa' huchukuliwa na serikali kwanza. Nchii hii utaratibu wa vilaza kuwa mpaka kiongozi mkuu ndio uliotupelekea huku
Salary Margin pia ni tatizo. Leo ukienda Botswana, Watanzania hawa hawa wanaodharaulika nyumbani hasa kada za Udaktari na Uhandisi, wanakunja hela ndefu sana!Hapo umenena mkuu wa Havard wako mtaani
Ndio tatizo la kuajiri vilaza serikalini huku wakiacha vichwa wanaajiriwa na sekta binafsi. Hii ipo tofauti na nchi nyingi zilizoendelea duniani ambapo 'vichwa' huchukuliwa na serikali kwanza. Nchii hii utaratibu wa vilaza kuwa mpaka kiongozi mkuu ndio uliotupelekea huku
Sidhani kama shida ni ukilaza wa DPP au wana sharia wa serikali; ukiitazama hi case yaweza kufanana na ile ya Profesa Mahalu; nahisi wadogo ndio wamepelekwa mahakamani while wahusika wakuu wameachwa, mwishoni mwa siku yaweza kua aibu. Hebu na tusubiri mchezo utakavyo kua. Tukumbuke na wao hawajaanza kusema walipewa mamlaka ya hayo walioyafanya na NANI!kazi ipo,which is which,ina maana ofisi ya DPP ni vilaza?i just don't get it
Sidhani kama shida ni ukilaza wa DPP au wana sharia wa serikali; ukiitazama hi case yaweza kufanana na ile ya Profesa Mahalu; nahisi wadogo ndio wamepelekwa mahakamani while wahusika wakuu wameachwa, mwishoni mwa siku yaweza kua aibu. Hebu na tusubiri mchezo utakavyo kua. Tukumbuke na wao hawajaanza kusema walipewa mamlaka ya hayo walioyafanya na NANI!
Mkuu, kwani hukumu imeisha toka?Tutapata hukumu yake? We can not comment mpaka tuone hukumu inasemaje!
Kesi dhidi ya jamhuri ni nyepesi sana , ni Babu seya peke yake ndio alishindwa .Nasema tena hii kesi akina kitilya watashinda Na watadai fidia jamuhuri
hahahaaaa!Mihemko ya kisiasa ni shida,mbele ya safari unaangukaNaanza kumuelewa Tundu Lissu
Nilivyoelewa ni kuwa hukumu bado, ila Mahakama kuu imetupilia mbali rufaa ya ofisi ya DPP iliyopinga kufutwa kwa shitaka la 8(kama sikosei), lililohusu kutakatisha fedha, ambapo kwa kufutwa shitaka hilo, yanabaki mashataka7, na hivyo washatakiwa wanakuwa na haki ya kupata DHAMANA.Mkuu, kwani hukumu imeisha toka?
Hata PM mwenyewe kuna mahali anabaki bila majibu kwa maswali magum....nchi ikiongozwa kwa mzuka ...Viongozi hujb kimizuka.....Mbunge Zito Kabwe alimuuliza Waziri Mkuu Majaliwa.
Wapo wapi wale wafanyakazi wa BOT na Hazina waliousika kwenye hii dili? Mbona wao hawakamatwi?
Waziri Mkuu akaishia kutoa mimacho tu.
Usicheze kabisa na Jaaa Kayaaa...