jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,842
Hizi 'technicalities' za sheria na taratibu za mahakama zimesababisha watu wengi kupoteza haki zao huko mahakamani. Na wanasheria wengi wamesaidia kushinda kesi nyingi kwa technicalities badala ya hukumu ya haki kwa kesi husika.
===========================================================================
Nashauri tutafute takwimu za wanasheria wameshinda kesi ngapi kwa kutumia technicalities na ngapi za kuhakikisha kesi imehukumiwa kwa haki.
...hii wanadai husababishwa na mawakili wengi kuwa na kesi nyingi mahakamani,hivyo wanachofanya, ni kutega tu kwenye kosa moja dogo pale kesi ikiendelea hapo hapo wanamaliza mchezo!