KESI YA KITILYA: Mahakama Kuu yatupilia mbali rufaa ya DPP

#Duuuuh! Mh. Rais iko haja Sasa ya kutengeneza ka-kikundi maalum kwa kazi maalum Kama hizi za wahujumu uchumi ,haiwezekani watu wapige Pesa kiulaiiini alaf kwenye kesi wanapangua mashtaka na hoja kiulaiini ili wapige tena pesapesa za fidia,inavoonekana hapa DPP nae ana-interest mchana anashinda ofisini usiku yupo kwa kina kitilya wakipanga kiasi cha kugawana kwenye fidia! Ukiangalia udhaifu anao-uonyesha DPP kisheria ni wamakusudi kabisa! Anajifanya yuko conscious ,kajipanga na hoja nzito kwenda mahakama kumbe anapiga change kumridhisha magu kuwa anafanya kazi! Ebu kumbukeni kesi ilipotoka kisutu ,jaji alitamka wazi ameruhusu kesi iende high court kwa maagizo toka juu!(shows it was a serious and important nationally) Pia uki-recall judgment ya leo high court hapo ndio utagundua kamchezo...!! Sasa nakuomba Mh. Rais kuwa makini sana hapa, hawa jamaa wana piga deal ,kwa wingi wa kesi za mafisadi zinazopikwa utashangaa nusu ya national budget inaishia kwenye fidia kwa wanyang'anyi...!! #TAFAKARI CHUKUA ATUA! Mnaweza mkajazia ili tujenge na tulikomboe taifa kutoka kwa wanyang'anyi maana inawezekana kwenye jopo la mawakili wa serikali kuna vijana very loyal na wanafanya kazi nzuri,tatzo likaja kwa kiongozi wao anatoa maelekezo maalum!
 
Nasema tena hii kesi akina kitilya watashinda Na watadai fidia jamuhuri

No way. Hati ya mashtaka inabadilishwa. Awamu hii fisadi hatoroki! DPP na watu wake wawe makini. Mambo ya kuhujumu serikali yamepitwa na wakati. Mahakamu nao wawe wanasoma hizo sheria vizuri vinginevyo mawakili watawaponza.
 
Mi nakuambia na ukilaza wa DPP unachangia. Sasa kama unajua walipewa maelekezo na nani kwa nini uwafungulie kesi wao ilhali unajua aliyetoa maelekezo hawezi kushtakiwa?

Kama DPP naye ameamrishwa kuwafungulia mashtaka watu hao wakati huu achukue uamuzi gani? Je, DPP Tanzania ana uhuru (autonomy) wa kuamua mwenyewe kesi ipi aifungulie mashtaka na lini (prioritization)?
 
Sheria zetu uta shangaa zinavyo chagua watu nakumbuka yule bwana mkubwa aliye toa bastola akakoki na kumuua dereva wa dala dala lakini ili mradi tu asi wekwe mahabusu kwa kosa la mauaji ika semwa ameua bila ya kukusudia haikuwa haki ila Mungu akaliona akaingilia kati kaenda kuhukumu mwenyewe.
Mkuu.
Tatizo sheria nyingi tulitungiwa na watu waovu
 
#Duuuuh! Mh. Rais iko haja Sasa ya kutengeneza ka-kikundi maalum kwa kazi maalum Kama hizi za wahujumu uchumi ,haiwezekani watu wapige Pesa kiulaiiini alaf kwenye kesi wanapangua mashtaka na hoja kiulaiini ili wapige tena pesapesa za fidia,inavoonekana hapa DPP nae ana-interest mchana anashinda ofisini usiku yupo kwa kina kitilya wakipanga kiasi cha kugawana kwenye fidia! Ukiangalia udhaifu anao-uonyesha DPP kisheria ni wamakusudi kabisa! Anajifanya yuko conscious ,kajipanga na hoja nzito kwenda mahakama kumbe anapiga change kumridhisha magu kuwa anafanya kazi! Ebu kumbukeni kesi ilipotoka kisutu ,jaji alitamka wazi ameruhusu kesi iende high court kwa maagizo toka juu!(shows it was a serious and important nationally) Pia uki-recall judgment ya leo high court hapo ndio utagundua kamchezo...!! Sasa nakuomba Mh. Rais kuwa makini sana hapa, hawa jamaa wana piga deal ,kwa wingi wa kesi za mafisadi zinazopikwa utashangaa nusu ya national budget inaishia kwenye fidia kwa wanyang'anyi...!! #TAFAKARI CHUKUA ATUA! Mnaweza mkajazia ili tujenge na tulikomboe taifa kutoka kwa wanyang'anyi maana inawezekana kwenye jopo la mawakili wa serikali kuna vijana very loyal na wanafanya kazi nzuri,tatzo likaja kwa kiongozi wao anatoa maelekezo maalum!
Mkuu...,

Hili likesi la akina Kitillya huwezi kuliita la KIFISADI mpaka uwajumlishe tena ktk kesi watu waliowapa kazi akina Kitillya...
Watu hao wapo..., lakini hawaguswi kwa nini...?!
Wahusika wa kwanza ni maofisa wa Wizara ya Fedha kutoka Serikali ya JK wakati huo ambao walikua ndio waomba MKOPO...
Wahusika wa pili ni toka Bank yetu pendwa ambayo ndio ILIYOOMBWA mkopo....

Na kwa kuwa huo ulikuwa ni DEAL /MRADI mkubwa..., basi wahusika wakuu wawili, ambao ni SERIKALI na BANK wakaamua kuweka MWANGALIZI HURU wa MASLAHI yao.
Mwangalizi huyu unaweza kumwita DALALI au MSHAURI wa mradi /mkopo huu kati ya Serekali na Bank... Huyu hawezi kujipa kazi, ANAPEWA KAZI na hawa wahusika wakuu wawili..., kwa makubaliano ya MALIPO....!

Sasa mkuu..., cha ajabu hapa ni kumkamata DALALI na kumfungulia kesi ya KUTAKATISHA FEDHA na kuwaacha WALIOMPA kazi...., ambao ndio WALIOMLIPA pesa hizo baada ya yeye kufanya kazi yake...!?

Wewe unaona hili ni sawa kweli...?!
 
Nyie watu mnamatatizo sana, ni majuzi tu hapa mlikuwa mnamsema Jaji Dkt Feleshi, moja ya sifa yake kubwa ilikuwa ni kutokufanya kazi kwa pressure ya wanasiasa na vyombo vya habari.
Umenielewa lakini? ndivyo nilivyo maanisha hakuna sababu ya jaji kufanya kazi kwa presha ya wanasiasa afuate misingi ya shria, rudi kwenye comment yangu halafu soma ulicho ni quote maana sijajua ulicho andika unasema nina matatizo?!
 
No way. Hati ya mashtaka inabadilishwa. Awamu hii fisadi hatoroki! DPP na watu wake wawe makini. Mambo ya kuhujumu serikali yamepitwa na wakati. Mahakamu nao wawe wanasoma hizo sheria vizuri vinginevyo mawakili watawaponza.
Huu mchezo hauhitaji Hasira, Law is not about Your Feelings Ndugu, Sheria ni Vifungu na Uelewa wa Vifungu. Unapeleka timu hovyo uwanjani halafu unataka kumshushia kipigo refa? Upuuzi mtupu. Ukweli hii kesi hata mwanafunzi wa Mwaka wa Pili Sheria aliyesoma Criminal Law na The Law of Evidence hii kesi kina Kitilya watakuwa Acquitted. Wala hawahitaji kuhonga hata senti tano!
 
Mkuu...,

Hili likesi la akina Kitillya huwezi kuliita la KIFISADI mpaka uwajumlishe tena ktk kesi watu waliowapa kazi akina Kitillya...
Watu hao wapo..., lakini hawaguswi kwa nini...?!
Wahusika wa kwanza ni maofisa wa Wizara ya Fedha kutoka Serikali ya JK wakati huo ambao walikua ndio waomba MKOPO...
Wahusika wa pili ni toka Bank yetu pendwa ambayo ndio ILIYOOMBWA mkopo....

Na kwa kuwa huo ulikuwa ni DEAL /MRADI mkubwa..., basi wahusika wakuu wawili, ambao ni SERIKALI na BANK wakaamua kuweka MWANGALIZI HURU wa MASLAHI yao.
Mwangalizi huyu unaweza kumwita DALALI au MSHAURI wa mradi /mkopo huu kati ya Serekali na Bank... Huyu hawezi kujipa kazi, ANAPEWA KAZI na hawa wahusika wakuu wawili..., kwa makubaliano ya MALIPO....!

Sasa mkuu..., cha ajabu hapa ni kumkamata DALALI na kumfungulia kesi ya KUTAKATISHA FEDHA na kuwaacha WALIOMPA kazi...., ambao ndio WALIOMLIPA pesa hizo baada ya yeye kufanya kazi yake...!?

Wewe unaona hili ni sawa kweli...?!
Well said mkuu. Na hapo ndo Watz wengi hawapaelewi wala hawataki kupaelewa na badala yake wametanguliza Ushabiki mbele!
 
Nasikia mishahara serikalini inashuka, smart brain wa kujitolea utawapata wapi

Binadamu wana 'level' za maendeleo kimahitaji kufuatana na Abraham Maslow kama umewahi kumsikia. Wenye 'level' ya chini ya maendeleo wanahangaika kukidhi 'natural basic needs' wenye level za juu wanahitaji la kujitambua na kutambuliwa kwani'basic needs' kwao sio ishu. Wape 'national recognition' watu wenye uwezo mkubwa. Haiwezekani mtu mwenye one ya pointi tatu ashinde juani na mwenye four ya kumi na sita! Hatutoi rewards kwa watu wetu tunawavunja moyo.Wakihitimu tuwape kazi huku tukiendelea kuwatambua kwa kuwatafutia makazi yanayowatambukisha na tuhakikishe hawana shida ya basic needs. Tuwakikishie matibabu na shule za maana za watoto wao. Kama kuna international school kwa nini kusiwe na heroes schools?
 
Mbunge Zito Kabwe alimuuliza Waziri Mkuu Majaliwa.

Wapo wapi wale wafanyakazi wa BOT na Hazina waliousika kwenye hii dili? Mbona wao hawakamatwi?

Waziri Mkuu akaishia kutoa mimacho tu.

Usicheze kabisa na Jaaa Kayaaa...

Hao ndio walitakiwa kuwa washtakiwa wakuu katika kesi hii.
Katika nia ya dhati ya kuzuia uhalifu kama huu usitokee tena, walioachwa wanatakiwa wawe watuhumiwa na hawa Kitilya na wenzake wawe mshahidi wa upande wa mashtaka.
Aliyeikosea Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kiwango kikubwa katika ufisadi huu ni wale walioidhinisha wakiwa serikalini.
Kwa mwenendo huu serikali inajaribu tu kudanganya uma na pia ni matumizi mabaya ya fedha na raslimali za uma kuendesha kesi za kibabaishaji kama hii.
 
picha linaendelea


Kikwete alipokuwa anateua majaji wa voda fasta alijua huko mbele watamnufaisha; kesi zote za kuhujumu uchumi serikali itashindwa!! Si mmeona kesi ya kutengeneza ARVS fake ilivyopindishwa mpaka sasa hukumu inataka serikali iwalipe wakina Madabida shs,bill.60!!!! Mahakama zetu lazima zifumuliwe kwa kupitisha katiba ya wananchi bila hivyo kazi itamshinda JPM!!!
 
Tutakua niwakushindwa skuu zote kutokana na wanasheria wabovuu
Sio wanasheria wabovu mkuu; Haki itabaki kuwa haki; Hata uwe mwanasheria mahili, kamwe huwezi kunyang'anya haki ya mtuhumiwa kwa hila. Hata ww ukituhumiwa jambo, unayo haki yako kama mtuhumiwa, je ungependa ikandamizwe kwa hila na ghiliba za wanashria mahili?? Kwa kifupi ni kuwa mahakama kuu imetoa haki ambayo hata ungelikuwa ni wewe ungepata.
 
Kuna mtu yeyote ata anajua Jamuhuri imewafungulia kesi kwa sheria gani nimejaribu kutafuta specific 'fraud act Tanzania' sijaona (sisemi hakuna); na waandishi wa habari hakuna ata mmoja anaelezea kwanini shitaka la serikari limetupwa kwa makosa yaliyopelekwa na kwanini DDP anataka kesi iende mahakama ya juu what exactly are the details ya hii kesi zaidi ya kusema tu watu wamehongwa au mahakama ilitakiwa iwapate na hatia.

Common sense says mtu akicheza na number for personal gain it is a false misinterpretation and a criminal offence kama fraud; binafsi nilitarajia wapatikane na hatia. Sasa tuna hiyo sheria specific au kesi inashitakiwa vipi na so far hao waandishi awasemi kesi ilipo kisheria aiwezekani mahakama iwe inatupa kesi kirahisi yenye public interest lazima kwa upande wa serikari hakuna evidence muhimu za shitaka ndio unajiuliza Jamuhuri inadai nini hasa na kwa sheria z/ipi za nchi?
 
Leo Mahakama Kuu Dar imetupilia mbali rufaa ya Mkurugenzi Mkuu wa Mashataka(DPP)dhidi ya Kitilya na wenzake, yaishauri Jamhuri kurudi Kisutu kufanya marekebisho ya shtaka hilo.

Jumanne wiki hii Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilisema kuwa jalada la kesi inayowakabili aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mwenyekiti wa Enterprise Growth Market Advisors Ltd (EGMA), Harry Msamire Kitilya na wenzake kimsingi bado lipo Mahakama Kuu na kwamba washtakiwa hao walitakiwa kwenda mbele ya Jaji Mfawidhi kwa maelekezo mengine.

Hayo yalisemwa na Hakimu Mkazi, Emilius Mchauru pale kesi ya washtakiwa hao ilipokuja kwa ajili ya kutajwa baada ya mawakili wa pande zote mbili kusema ya kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kupata maelekezo kutoka Mahakama Kuu kama ilivyoamuliwa mara ya mwisho.
Hawa majaji Hawali mrungula kweli, Mimi nawasiwasi...
 
Nasema tena hii kesi akina kitilya watashinda Na watadai fidia jamuhuri
Magufuli chagua majaji wazalendo, du hawa majaji sasa inakuwa kero. Watu wanaiba mapesa halafu majaji wanawaachia eti wameshinda kesi kweli? Magufuli wewe ndie top piga chini majaji hawa na teua wengine. Wananchi tumechoka.
 
Magufuli chagua majaji wazalendo, du hawa majaji sasa inakuwa kero. Watu wanaiba mapesa halafu majaji wanawaachia eti wameshinda kesi kweli? Magufuli wewe ndie top piga chini majaji hawa na teua wengine. Wananchi tumechoka.
Mtawalaumu majaji tatizo ya hii kesi ni kufunguliwa dalali kesi wakati kuna wenye biashara ambao ni serikali ya Tanzania Na banki husika ndio wao wangepandishwa mahakamani kungekuwa Na kesi nzuri siasa zitaimaliza nchi
 
Kikwete alipokuwa anateua majaji wa voda fasta alijua huko mbele watamnufaisha; kesi zote za kuhujumu uchumi serikali itashindwa!! Si mmeona kesi ya kutengeneza ARVS fake ilivyopindishwa mpaka sasa hukumu inataka serikali iwalipe wakina Madabida shs,bill.60!!!! Mahakama zetu lazima zifumuliwe kwa kupitisha katiba ya wananchi bila hivyo kazi itamshinda JPM!!!
Hakika sasa Wananchi hawana tena imani na hawa majaji wa vodafasta, Wanalitia hasara Taifa, Magufuli fumua system yote na ondoa hawa majaji ambao wanatutia aibu nchi hii. Mh John pombe Magufuli ....Kama unasikia fanya haya Mapema.
 
~~~~>>>Ina maana zile Bilioni 12 Mahakama walizopewa hawakujua kazi yake????


~~~~>>>>JPM fukuza hawa wote.... Wameshindwa kazi.
 
Back
Top Bottom