Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Hajui kila kitu
Kama kuna Mawakili makini na wabobevu basi ni PETER KIBATALA.....!
Hajui kila kitu
Mpelelezi hafuatilii vyombo vya habari.
Ahahahaha hii kesi ilikuwa tamu sana Kingai na wenzake walitepeta sana I wish angejitokeza mwandishi Genius mmoja atuandikie kitabu hakika itakuwa furaha sanahawa ndo walikua mashahidi wenu Kulwa Jilala USSR Stroke voicer Magonjwa Mtambuka Chagu wa Malunde cocochanel View attachment 2634503
hii mkuu ni kesi ya 2019 achana ya 2021Ahahahaha hii kesi ilikuwa tamu sana Kingai na wenzake walitepeta sana I wish angejitokeza mwandishi Genius mmoja atuandikie kitabu hakika itakuwa furaha sana
hawa ndo walikua mashahidi wenu Kulwa Jilala USSR Stroke voicer Magonjwa Mtambuka Chagu wa Malunde cocochanel View attachment 2634503
Hata kama ila anapokuwepo Kibatala kwenye mahojiano huwa ni burudani mkuu,hii mkuu ni kesi ya 2019 achana ya 2021
😂😂😂Mkewe ni chanelcoco...
Kingai alipata fistula kwa nondo za KibatalaAhahahaha hii kesi ilikuwa tamu sana Kingai na wenzake walitepeta sana I wish angejitokeza mwandishi Genius mmoja atuandikie kitabu hakika itakuwa furaha sana