Ninawaombea ipo siku Mungu atafanya muujiza kwa ajili yao na Watanzania kwa ujumla. Ikiwa yule Nguza na wanae walitiwa hatiani je mwalimu aliyeachiwa huru kama asingewapeleka watoto kwa familia ile wangewezaje kufanikisha uovu ule? Na pia kwa wanaofahamu huyo mwalimu yuko wapi sasa hivi? Usishangae kusikia hajulikani aliko!!!!!
Guys ninarudia nimesoma faili zima. Jamaa walikuwa na hatia au niseme walikuwa wapumbavu kui9ngia kwenye mtego.
Kama ni mchongo waliingia kisawasawa. Naweza kuandika facts zaidi ila inategemea wewe una mtazamo upi.
Kumbuka hakimu anaangalia FACTS presented before him/her!!!! kuwa focused itakusaidia
Ninawaombea ipo siku Mungu atafanya muujiza kwa ajili yao na Watanzania kwa ujumla. Ikiwa yule Nguza na wanae walitiwa hatiani je mwalimu aliyeachiwa huru kama asingewapeleka watoto kwa familia ile wangewezaje kufanikisha uovu ule? Na pia kwa wanaofahamu huyo mwalimu yuko wapi sasa hivi? Usishangae kusikia hajulikani aliko!!!!!
Hapana ... hawakupakaziwa ... hawa watu walicheza mkanda wa mambo hayo na watoto .. mkanda ukauzwa nje ya nchi .. some foreign ambassodor to tanzania had gone back home on an errand ... akaufuma huu mkanda ambayo aliletewa akaambia see what is happening in Tanzania ... the ambassodor who knew the culprits came back to TZ ... called top officials and showed them the mkada ... luckily the guys were easily identified ... and the only thing to do was to pin them down ...wakatumia hizo mbinu as wale watoto waliyowachezea wasingepatikana .. this is why hii kesi no one could tamper with with it as there was recorded evidence ....
They are paying for their sins
Hapana ... hawakupakaziwa ... hawa watu walicheza mkanda wa mambo hayo na watoto .. mkanda ukauzwa nje ya nchi .. some foreign ambassodor to tanzania had gone back home on an errand ... akaufuma huu mkanda ambayo aliletewa akaambia see what is happening in Tanzania ... the ambassodor who knew the culprits came back to TZ ... called top officials and showed them the mkada ... luckily the guys were easily identified ... and the only thing to do was to pin them down ...wakatumia hizo mbinu as wale watoto waliyowachezea wasingepatikana .. this is why hii kesi no one could tamper with with it as there was recorded evidence ....
They are paying for their sins
Hapa umechanganya madawa mkuu, nenda ukaangalie tena vizuri ni kigogo gani hasa anayehusika.
Nilisikia juu juu kwamba JK pia alihusika katika hili?
Magwiji... ni hivi... inaelekea kulikuwa na ugomvi ya kugombea kimada kweli but mimi naamini jamaa walitenda makosa. Sidhani kama kuna uwezekano wa kuchonga mashahidi wengi tena watoto na wote wakanyoosha ushahidi bila kupinda. Haliingii akilini hata kidogo.
Mkuu vipi Mwalimu aliyekuwa akiwapeleka watoto hao kuachiwa bila hatia, mbona hiyo inakuingia akilini?
Halafu ninaomba ufuatilie tena kwa makini je hawa wakongo bado wapo jela kweli, au? Msiwe mnakurupuka wakuu!
Hapana ... hawakupakaziwa ... hawa watu walicheza mkanda wa mambo hayo na watoto .. mkanda ukauzwa nje ya nchi .. some foreign ambassodor to tanzania had gone back home on an errand ... akaufuma huu mkanda ambayo aliletewa akaambia see what is happening in Tanzania ... the ambassodor who knew the culprits came back to TZ ... called top officials and showed them the mkada ... luckily the guys were easily identified ... and the only thing to do was to pin them down ...wakatumia hizo mbinu as wale watoto waliyowachezea wasingepatikana .. this is why hii kesi no one could tamper with with it as there was recorded evidence ....
They are paying for their sins
Guys ninarudia nimesoma faili zima. Jamaa walikuwa na hatia au niseme walikuwa wapumbavu kui9ngia kwenye mtego.
Kama ni mchongo waliingia kisawasawa. Naweza kuandika facts zaidi ila inategemea wewe una mtazamo upi.
Kumbuka hakimu anaangalia FACTS presented before him/her!!!! kuwa focused itakusaidia
Ndo yeye hasaaaa....!!!
Mkuu hapa JF watu iwa tunaongea kwa ushahidi na kumwaga evidence kama wewe upo karibu na hilo file kwa nn usiscan na kisha ukaliweka hapa kila mtu alisome kisha tujue ukweli ni upi na uongo ni upi.
Hapana ... hawakupakaziwa ... hawa watu walicheza mkanda wa mambo hayo na watoto .. mkanda ukauzwa nje ya nchi .. some foreign ambassodor to tanzania had gone back home on an errand ... akaufuma huu mkanda ambayo aliletewa akaambia see what is happening in Tanzania ... the ambassodor who knew the culprits came back to TZ ... called top officials and showed them the mkada ... luckily the guys were easily identified ... and the only thing to do was to pin them down ...wakatumia hizo mbinu as wale watoto waliyowachezea wasingepatikana .. this is why hii kesi no one could tamper with with it as there was recorded evidence ....
They are paying for their sins
Now it clicks ... read my version .. this guy alikuwa waziri wa mambo ya nje ... he was the right person to deal with this ... the other ambassador alimkabidhi yeye tape ...very true
Assalam aleykum ndg zanguni,leo nimekaa na kutafakali sana jinsi nchi yetu inavyokwenda,kuanzia uongozi wa chini(tawi) mpaka huko juu,kuna mambo mengi sana ya vioja yanayofanyika na serikali kukaa kimya ama kwa makusudi au kwa kujifanya hawaoni kwa kujua kwamba watanzania ni wepesi wa kusahau.na kitu hicho kipo hapa JF,
kitu ambacho kinaniuma siku zote na kitaendelea kuniuma ingawa kimetokea kitambo ni jinsi babu seya (nguza viking) na wanawe (papii kocha,nguza mbangu na francis) jinsi walivyohukumiwa kifungo kikubwa kwa sababu tu kesi ilikuwa imetengenezwa na kusimamiwa kidete na mabwana wakubwa wa serikali(mahita na wenzake),haiingii akilini mpaka leo kwa mtu ambaye anaitwa ALHAJI kumwadhibu mtu na familia yake tena kwa SABABU anataka kuilalisha DHINAA(kadhulumiwa kimada wake),
hili jambo ingawa limetokea kitambo lakini lazima tufahamu kuwa wale ni viumbe ambao wanateseka gerezani kwa kesi ya kubambikwa hivyo wanaJF lazima tuwe na utaratibu wa kuyakumbushia na kuendelea kuyakemea mabaya yote ya serikali bila kujali kuwa ni muda gani umepita!
Kujua kabati liko wapi, sio kithibitisho kuwa wameabkwa, pengine walikwenda kucheza na wenzao, au mwalimu wao aliwapeleka pale kwa lengo jingine na si hilo la kubakwa. Vipimo vya Daktari je vinasemaje? Na kwa nini huyo mwalimu hakufungwa?