Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,277
- 9,912
YAMETIMIA
Kuna Jambo naliona, Ngao ya Jamii Yanga Kucheza na Azam FC
Pasipo Shaka Tanzania inaenda kuandika historia yake katika Mchezo wa Mpira wa Miguu, Ni jambo ambalo wengi hawakutarajia kama linaweza kutokea, Kuna asilimia 80% Sasa kwa Klabu ya Simba kwenda kushuka daraja.
Wengi tulijaribu kutumia Elimu na Maarifa ambayo Mungu ametujaaliwa kutoa ushauri wakisheria na ushauri wakihekima kuwaomba wenye mamlaka ya soka Nchini kulitafutia ufumbuzi wa Kihekima juu ya tatizo la Bernad Morrison na Klabu yake halali ya Yanga lakini Bahati mbaya sana tulibezwa na watu kuchukulia mambo kishabiki zaidi. Bahati Mbaya sana mambo yameharibika hayawezi kutengenezeka tena. Bernad Morrison na Klabu ya Simba sasa wapo mdomoni mwa chatu, Chatu ambaye anavuta pumzi kulipa tumbo lake nafasi kwa ajili yakukiweka tumboni kile kilichopo mbele yake.
Logic reasoning
Kesi ya Msingi ambayo Yanga waliipeleka CAS ground yake ilikuwa madai ya YANGA "KUWA NA MKATABA HALALI NA BERNAD MORRISON"
Madai ya Pili ya Yanga
Yalikuwa, Klabu ya Simba kumrubuni Bernad Morrison kwa kumuahidi kumpa Dola Elfu kumi ambapo walimtangulizia Dola Elfu Tano ili aweze kukubali kusajiliwa na Klabu ya Simba ili hali alikuwa na mkataba na Klabu ya Yanga
Lakini pia Shauri B lilikuwa, Klabu ya Simba kumsajili Bernard Morrison akiwa ndani ya Mkataba na Klabu ya Yanga tena Shauri lake likiwa bado lipo katika kamati ya Sheria ya TFF.
Open fact
Kitendo cha CAS , kutoa Taarifa kuwa hukumu itatolewa tarehe 24/8/2021, Tafasiri yake ni kwamba Bernad Morrison alikuwa na mkataba halali dhidi ya Klabu yake ya Yanga, Kama Shauri la kwanza la Yanga la madai kuwa Morrison ana mkataba halali na Yanga lisingekuwa na ukweli, Basi kesi ingeishia hapa hapa kwenye hiki kipengele, CAS wasingekuwa na sababu yeyote ya kwenda kusikiliza tena vipengele B na C . Ambavyo Klabu ya Yanga inailalamikia Klabu ya Simba kumrubuni na kumsajili Bernad Morrison ili hali ana Mkataba na Klabu ya Yanga
Bahati Mbaya sana Shauri hili wakati linajadiliwa kwenye kamati ya Sheria ya TFF , Chini ya Mwenyekiti Mwanjala walishindwa kujikita kwenye Determination of contract extension
Element kuu mbili za kisheria ambazo zimemuangusha Bernad Morrison katika Shauri hili ni
(a) Facts and (b) Defective on the case ground
Jkt Ruvu Kutoshuka Daraja
Kikanuni Klabu ikiwa imemchezesha mchezaji ambaye Ana mkataba na Klabu nyingine, Basi adhabu yake ni kunyang'anywa point katika mechi zote ambazo mchezaji husika ametumika kucheza.
Fact reference ya hukumu
Klabu ya AS VITA inayoshiriki ligi kuu ya Kongo, msimu huu imenyang'anywa Point na Ubingwa baada yakumchezesha Mchezaji anayeitwa Zao Matutala ambaye kipindi wanamtumia alikuwa na kesi CAS kama hivi ilivyo kwa Bernad Morrison, Bahati Mzuri AS VITA mchezaji huyu walimtumia kwenye Mechi Tatu tu za Ligi, Ambapo AS VITA walinyang'anywa point 9 baada ya Zao Matutala kushindwa kesi, Kutokana na AS VITA kunyang'anywa point 9 TP MAZEMBE wakajikuta wanakuwa Mabingwa wa Ligi kuu ya Kongo kwa msimu wa 2021/2022
Kwanini hukumu haijatolewa leo?
Kuna kitu kinaitwa Documents compile
Hii ni stage yapili kutoka mwishoni kabla yakutoa Taarifa ya hukumu
Kwasasa CAS wanacompile documents ili waweze kutoa hukumu
Katika tukio hili lakihistoria JKT RUVU yenye Point 29 itasalimika kushuka Daraja, na Klabu yetu ya Simba itaungana na Gwambina Fc yenye Point 35, Ihefu yenye Point 35 na Mwadui yenye Point 19
Rage naye kaamka usingzini, anasema kesi hii ngumu
Siku zote tunajifunza kutokana na makosa, Ingawa funzo hili ni chungu lakini naamini litakuwa funzo kwenye tasnia ya Mpira wa miguu Nchini
Mwikwabi James
Legendary
0766074160
Kuna Jambo naliona, Ngao ya Jamii Yanga Kucheza na Azam FC
Pasipo Shaka Tanzania inaenda kuandika historia yake katika Mchezo wa Mpira wa Miguu, Ni jambo ambalo wengi hawakutarajia kama linaweza kutokea, Kuna asilimia 80% Sasa kwa Klabu ya Simba kwenda kushuka daraja.
Wengi tulijaribu kutumia Elimu na Maarifa ambayo Mungu ametujaaliwa kutoa ushauri wakisheria na ushauri wakihekima kuwaomba wenye mamlaka ya soka Nchini kulitafutia ufumbuzi wa Kihekima juu ya tatizo la Bernad Morrison na Klabu yake halali ya Yanga lakini Bahati mbaya sana tulibezwa na watu kuchukulia mambo kishabiki zaidi. Bahati Mbaya sana mambo yameharibika hayawezi kutengenezeka tena. Bernad Morrison na Klabu ya Simba sasa wapo mdomoni mwa chatu, Chatu ambaye anavuta pumzi kulipa tumbo lake nafasi kwa ajili yakukiweka tumboni kile kilichopo mbele yake.
Logic reasoning
Kesi ya Msingi ambayo Yanga waliipeleka CAS ground yake ilikuwa madai ya YANGA "KUWA NA MKATABA HALALI NA BERNAD MORRISON"
Madai ya Pili ya Yanga
Yalikuwa, Klabu ya Simba kumrubuni Bernad Morrison kwa kumuahidi kumpa Dola Elfu kumi ambapo walimtangulizia Dola Elfu Tano ili aweze kukubali kusajiliwa na Klabu ya Simba ili hali alikuwa na mkataba na Klabu ya Yanga
Lakini pia Shauri B lilikuwa, Klabu ya Simba kumsajili Bernard Morrison akiwa ndani ya Mkataba na Klabu ya Yanga tena Shauri lake likiwa bado lipo katika kamati ya Sheria ya TFF.
Open fact
Kitendo cha CAS , kutoa Taarifa kuwa hukumu itatolewa tarehe 24/8/2021, Tafasiri yake ni kwamba Bernad Morrison alikuwa na mkataba halali dhidi ya Klabu yake ya Yanga, Kama Shauri la kwanza la Yanga la madai kuwa Morrison ana mkataba halali na Yanga lisingekuwa na ukweli, Basi kesi ingeishia hapa hapa kwenye hiki kipengele, CAS wasingekuwa na sababu yeyote ya kwenda kusikiliza tena vipengele B na C . Ambavyo Klabu ya Yanga inailalamikia Klabu ya Simba kumrubuni na kumsajili Bernad Morrison ili hali ana Mkataba na Klabu ya Yanga
Bahati Mbaya sana Shauri hili wakati linajadiliwa kwenye kamati ya Sheria ya TFF , Chini ya Mwenyekiti Mwanjala walishindwa kujikita kwenye Determination of contract extension
Element kuu mbili za kisheria ambazo zimemuangusha Bernad Morrison katika Shauri hili ni
(a) Facts and (b) Defective on the case ground
Jkt Ruvu Kutoshuka Daraja
Kikanuni Klabu ikiwa imemchezesha mchezaji ambaye Ana mkataba na Klabu nyingine, Basi adhabu yake ni kunyang'anywa point katika mechi zote ambazo mchezaji husika ametumika kucheza.
Fact reference ya hukumu
Klabu ya AS VITA inayoshiriki ligi kuu ya Kongo, msimu huu imenyang'anywa Point na Ubingwa baada yakumchezesha Mchezaji anayeitwa Zao Matutala ambaye kipindi wanamtumia alikuwa na kesi CAS kama hivi ilivyo kwa Bernad Morrison, Bahati Mzuri AS VITA mchezaji huyu walimtumia kwenye Mechi Tatu tu za Ligi, Ambapo AS VITA walinyang'anywa point 9 baada ya Zao Matutala kushindwa kesi, Kutokana na AS VITA kunyang'anywa point 9 TP MAZEMBE wakajikuta wanakuwa Mabingwa wa Ligi kuu ya Kongo kwa msimu wa 2021/2022
Kwanini hukumu haijatolewa leo?
Kuna kitu kinaitwa Documents compile
Hii ni stage yapili kutoka mwishoni kabla yakutoa Taarifa ya hukumu
Kwasasa CAS wanacompile documents ili waweze kutoa hukumu
Katika tukio hili lakihistoria JKT RUVU yenye Point 29 itasalimika kushuka Daraja, na Klabu yetu ya Simba itaungana na Gwambina Fc yenye Point 35, Ihefu yenye Point 35 na Mwadui yenye Point 19
Rage naye kaamka usingzini, anasema kesi hii ngumu
Siku zote tunajifunza kutokana na makosa, Ingawa funzo hili ni chungu lakini naamini litakuwa funzo kwenye tasnia ya Mpira wa miguu Nchini
Mwikwabi James
Legendary
0766074160