Chief Lugina
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 286
- 76
Young Bilionea wa zama zetu riz1 ni mwanasheria kwenye kampuni ya watoto wa vigogo IMMA Advocates,kuna tetesi kuwa tangu ameanza kazi ya uwakili hakuna hata kesi moja aliyo wahi kuisimamia na kushinda. Nadhani hii inatokana na kudesa alipokuwa chuo.. Plz kama kuna mtu yeyote anajua kesi yoyote iliyo wahi kuwakilishwa na wakili riz1 atujuze tuone huyu Jakaya jr nae alivyo kilaza kama msure wake!