Unamtisha nani Sasa wewe kichaa
Kichwa chako kimejaa maviKama wewe Mwanaume,PICHA YAKO TU INATOSHA,nataka nikufunze kitu ambacho hutokaa usahau mpaka unaingia kaburini!!
Watu wengine mnapost utadhani siyo Watanganyika!
SITANYAMAZA
Hatupigani vita, bali tuko kwenye maandamano ya amani. Tumechoka kutawaliwa kwa shuruti na ccm.Ili kuepusha mauaji ya wasio na hatia uelekeo wenu uwe pasipo na makazi ya watu hata vita hupiganwa katika uwanja maalum kuepusha kudhulika kwa wasio na hatia
Hayo ndio matamanio ya kila jizi la ccm.Hamna maandamano kesho, niko pale niite mbwa
Utasubiri sana kudukua direction, mboga mboga wahed.direction
kesho ni mwendo wa woyoo woyooo woyooo za kichwa na mgegejoMimi binafsi kesho natoka na chuma
Nikifa niende na mjinga mmoja
Bila matusi utaeleweka pia. UNAJIDHALILISHA..!!Kama Ikulu iko matakoni mwa mama yako, basi utafika Ikulu
HeheheheWe chawa wa mbogamboga.
Vile vi 7000 vya posho mnavyopewa hapo lumumba kesho vinaenda kufutika rasmi.
Anza kujifunza kuishi bila ya vi 7000 vya uchawa.
Serikali imeyakataa waokoeni wasio na hatia walioko majumbani kwa kupita mbali na makazi ya watu in case ikitokea kama ya October 29 vifo vipungue pungue safari hiiHatupigani vita, bali tuko kwenye maandamano ya amani. Tumechoka kutawaliwa kwa shuruti na ccm.
Serekali ipi, hii iliyopora uchaguzi?Serikali imeyakataa waokoeni wasio na hatia walioko majumbani kwa kupita mbali na makazi ya watu in case ikitokea kama ya October 29 vifo vipungue pungue safari hii
Ni maoni tu
Inatambulika na umoja wa mataifaSerekali ipi, hii iliyopora uchaguzi?
Weka picha yako inbox na location yako kama uko Dar ili nije unione.Tindo nina uhakika unawachochea wenzio ila wewe utaandamana kwenye keyboard, kama mo29 ungeingia road leo jf usingekuwepo!!
Umoja upi wa mataifa unatambua kujiweka madarakani kwa kupora uchaguzi?Inatambulika na umoja wa mataifa
If we must die, let it not be like hogsNipo na Wanangu 17 na tunatoka wote, wewe je?
Naomba kesho tutoke kwa wingi sana, tutokeni kwa wingi sana ndugu zangu
Maandamano ni haki yetu kikatiba
Kama nilivyotoka tarehe 29 kesho nitatoka!!