Kesho tutoke kwa wingi sana!!

Kesho tutoke kwa wingi sana!!

Njoo Kimara karibu na kanisa la Askofu wenu Gwajima
Nipo kurasini muda huu uhamiaji, njoo maana nyie mna silaha. Mimi subirini nipate silaha tuongee lugha moja.
 
Nipo kurasini muda huu uhamiaji, njoo maana nyie mna silaha. Mimi subirini nipate silaha tuongee lugha moja.
Kurasini?? Aaah watu wa kazi wanaishi Kimara. Wewe unabakia ni ndugu mtazamaji tu
 
Nipo na Wanangu 17 na tunatoka wote, wewe je?

Naomba kesho tutoke kwa wingi sana, tutokeni kwa wingi sana ndugu zangu

Maandamano ni haki yetu kikatiba

Kama nilivyotoka tarehe 29 kesho nitatoka!!
Vipi mbona hujatoka? Au uliogopa kupigwa ya kichwa?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
😆
 

Attachments

  • 1765208365662.jpg
    1765208365662.jpg
    77.1 KB · Views: 5
Jamaa ya jezi ya Yanga kashaifua jezi yake anawanhojea road
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Nipo na Wanangu 17 na tunatoka wote, wewe je?

Naomba kesho tutoke kwa wingi sana, tutokeni kwa wingi sana ndugu zangu

Maandamano ni haki yetu kikatiba

Kama nilivyotoka tarehe 29 kesho nitatoka!!
Leo nimetembea mitaa mingi aisee, kila kona naona police na wanajeshi , moyoni nikasema ama kweli siku za kuheshimiwa mwananchi zimekaribia, leo vijana wa jwtz na police wamenilinda haswa ilikua mwendo wa kula bata, sasa nimeamua anzia kesho na kuendelea popote wapitapo watupie maji ,juice , biscuit n.k .

Namanisha Jwtz tu sio wenginge , thanks
 
Back
Top Bottom