heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,038
- 13,354
Sina hofu na vijana Gen z
Hofu ni adui wa maendeleo millenia hofu zao zinapoishia wao Gen Z ndo ujasiri wao unapoanzia
Mpaka ukaone Gen z anahofu basi mellenia muda huo kashafukiwa futi 6 chini ya udongo 😂,
Kesho watu wenye mapenzi mema na nchi yao wanaenda kutimiza haki yao kikatiba ya kuandamana kwa amani ,msiwauwe muwasimamie wanaofanya vurugu wakamatwe.
Hakuna mgeni wote ni watanzania wote wanauchungu na nchi yao,hakuna anaependa kuharibu nchi yake ,mama samia kwanini ulazimishe kuwaongoza watu yani ulazimishe kwa kuua na kujipa matokeo ya 98 hii haikubaliki
Ungetumia ata ulaghai na mbinu zingine za maridhiano kabla ya mambo kufika hapa yalipo, uliamua kukaza fuvu waliokushauri ukawaona maadui,yani ulazimishe kuwaongoza watu who are you?
Vijana amkeni, hii nchi ilitakiwa iwe na kila kitu millenia wameshindwa .
Mambo ya kutiana woga yamepitwa na wakati
Gen z wanaenda kufundisha ulimwengu maandamano ya amani yanavyotakiwa kufanyika
Gen z wanaenda kuonyesha ulimwengu jinsi ya kuishinda hofu Mo29 iliamsha hofu kuu je vijana wataishinda hofu?
Maandamano ni ya amani 100% hakuna mtu atakaekua na mida wa kuchoma wala kuiba kitu cha mtu maana mo29 ilikuwa wanatarget mali za watu wa ccm
D9 maandamano yatakuwa mazuri na ya kuvutia kila mtu, mkiwauwa vijana mtawakosea sana round ya 3 itakuwa worse na itaitwa tukose wote
Imagine watu wakienda kupiga RpG kwenye matank ya mafuta, Tanesco, kwenye sehemu muhimu,mabomba makuu ya maji , Nchi italegea na kila mtu atakosa
Kwaiyo serikali hii round ya pili kubalini kutimiza matakwa ya vijana msilete ubabe kumbuka anaeuwa watu ni watu
Hofu ni adui wa maendeleo millenia hofu zao zinapoishia wao Gen Z ndo ujasiri wao unapoanzia
Mpaka ukaone Gen z anahofu basi mellenia muda huo kashafukiwa futi 6 chini ya udongo 😂,
Kesho watu wenye mapenzi mema na nchi yao wanaenda kutimiza haki yao kikatiba ya kuandamana kwa amani ,msiwauwe muwasimamie wanaofanya vurugu wakamatwe.
Hakuna mgeni wote ni watanzania wote wanauchungu na nchi yao,hakuna anaependa kuharibu nchi yake ,mama samia kwanini ulazimishe kuwaongoza watu yani ulazimishe kwa kuua na kujipa matokeo ya 98 hii haikubaliki
Ungetumia ata ulaghai na mbinu zingine za maridhiano kabla ya mambo kufika hapa yalipo, uliamua kukaza fuvu waliokushauri ukawaona maadui,yani ulazimishe kuwaongoza watu who are you?
Vijana amkeni, hii nchi ilitakiwa iwe na kila kitu millenia wameshindwa .
Mambo ya kutiana woga yamepitwa na wakati
Gen z wanaenda kufundisha ulimwengu maandamano ya amani yanavyotakiwa kufanyika
Gen z wanaenda kuonyesha ulimwengu jinsi ya kuishinda hofu Mo29 iliamsha hofu kuu je vijana wataishinda hofu?
Maandamano ni ya amani 100% hakuna mtu atakaekua na mida wa kuchoma wala kuiba kitu cha mtu maana mo29 ilikuwa wanatarget mali za watu wa ccm
D9 maandamano yatakuwa mazuri na ya kuvutia kila mtu, mkiwauwa vijana mtawakosea sana round ya 3 itakuwa worse na itaitwa tukose wote
Imagine watu wakienda kupiga RpG kwenye matank ya mafuta, Tanesco, kwenye sehemu muhimu,mabomba makuu ya maji , Nchi italegea na kila mtu atakosa
Kwaiyo serikali hii round ya pili kubalini kutimiza matakwa ya vijana msilete ubabe kumbuka anaeuwa watu ni watu