lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
wanajamvi salaam sana.
Nipo najiuliza hapa kuwa na kesho ni siku ya mapumziko kwa nchi hii iliyo ya pili kutoka mwisho kwa umasikini (Sijui ni mapumziku ya nini lakini).
Ukiangalia hali ya kipesa kwa wengi wetu ni mbaya sana, hii sio kwa sababu ya sikukuu zilizoisha bali ni hali ya uchumi kwa ujumla wake.
Hivi wanajamvi, ni siku ngapi za mwaka ambazo binadamu inapasa afanye kazi ili aendelee?
Naleta swali hili maana sasa tunakuwa ni watu wa kupumzika tu hata zile siku ambazo ingetupasa kufanya kazi kwa muda wa ziada kwa kuwaenzi watu tunaowatukuza badala ya kupumzika, maana wenyewe wakati wa uhai wao walipenda kazi na kuwajibika!
Sijui mapumziko yatakuwaje na hii mifuko mitupu!!!!
Nawasilisha
Nipo najiuliza hapa kuwa na kesho ni siku ya mapumziko kwa nchi hii iliyo ya pili kutoka mwisho kwa umasikini (Sijui ni mapumziku ya nini lakini).
Ukiangalia hali ya kipesa kwa wengi wetu ni mbaya sana, hii sio kwa sababu ya sikukuu zilizoisha bali ni hali ya uchumi kwa ujumla wake.
Hivi wanajamvi, ni siku ngapi za mwaka ambazo binadamu inapasa afanye kazi ili aendelee?
Naleta swali hili maana sasa tunakuwa ni watu wa kupumzika tu hata zile siku ambazo ingetupasa kufanya kazi kwa muda wa ziada kwa kuwaenzi watu tunaowatukuza badala ya kupumzika, maana wenyewe wakati wa uhai wao walipenda kazi na kuwajibika!
Sijui mapumziko yatakuwaje na hii mifuko mitupu!!!!
Nawasilisha