HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 607
- 553
Habarini wadau,
Nimetafakari nikaliona hili la mapumziko ya siku 2 kwa nchi changa kama za Afrika ni ujinga
Kama ni kubudu mbona ijumaa wanasali na kufanya kazi inamaana hawataenda huko mbinguni kwenu kwa kuwa hawapumziki?
Siku zote ni sawa masaa 24 na wote wanamuomba Mungu kwanini wengine wapumzike na wengine wasipumzike kama siyo unafiki?
Waafrika ni WAFIKI sana hasa wanaojiita wa-kristu kwani wanasaini mikataba ya kazi na wanapokea mishahara kwa kila mwezi wakati wanafanyakazi siku chache.
Bila kubadili ujinga huu na kuongeza muda wa kazi kwaajili ya nafanikio hakuna matarajio ya kupata wataalan wabobezi katika nyanja mbalimbali.
Nimetafakari nikaliona hili la mapumziko ya siku 2 kwa nchi changa kama za Afrika ni ujinga
Kama ni kubudu mbona ijumaa wanasali na kufanya kazi inamaana hawataenda huko mbinguni kwenu kwa kuwa hawapumziki?
Siku zote ni sawa masaa 24 na wote wanamuomba Mungu kwanini wengine wapumzike na wengine wasipumzike kama siyo unafiki?
Waafrika ni WAFIKI sana hasa wanaojiita wa-kristu kwani wanasaini mikataba ya kazi na wanapokea mishahara kwa kila mwezi wakati wanafanyakazi siku chache.
Bila kubadili ujinga huu na kuongeza muda wa kazi kwaajili ya nafanikio hakuna matarajio ya kupata wataalan wabobezi katika nyanja mbalimbali.