Kesho naenda Somalia kwa pikipiki

mkuu kuna barua hapa nataka kukupa unifikishie kwa mkuu wa al shabab nampa salamu nimeandika kwa mkono wangu
 
wakuu hii ni tour yangu kwenda kujifunza tamaduni za wenzetu huko somali land
 
Wengine hula sumu, wengine hujitundika mlingotini kwa kamba, sasa naona wewe umekuja na staili yako ya kipekee kabisa!? Haya BURIANI BWANA!
 
Back
Top Bottom