Kesho mapumziko

mabomu

Member
Feb 17, 2011
43
7
Jamani taarifa ni kuwa kesho ni mapumziko. Yaani iddi pili! Waislamu watuthibitishie
 
Fanya kazi wewe. Jamii inakuhitaji sana. Mapumziko wakati hali ngumu ya maisha.
 
Ninachofahamu hili la Sikukuu inayoangukia Jumapili na mapumziko kusogezwa siku inayofuata lilishafutwa, kama ndiyo hivyo basi kesho ni siku ya kuwajibika ila ni vizuri kutafuta uthibitisho wa hili.
 
ebu niende tovuti ya bakwata nikapate shule ya elimu ahera
 
Ninachofahamu hili la Sikukuu inayoangukia Jumapili na mapumziko kusogezwa siku inayofuata lilishafutwa, kama ndiyo hivyo basi kesho ni siku ya kuwajibika ila ni vizuri kutafuta uthibitisho wa hili.

Naona huu jamaa anataka kupotosha watu tu hapa. Hayo ya kulipiza yalishapitwa na wakati.

BTW......mzima lakini wewe?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ninachofahamu hili la Sikukuu inayoangukia Jumapili na mapumziko kusogezwa siku inayofuata lilishafutwa, kama ndiyo hivyo basi kesho ni siku ya kuwajibika ila ni vizuri kutafuta uthibitisho wa hili.
BAK hiyo kitu haipo siku hizi mambo ya kulipia kama mfungo wa ramadhan hayapo tena. Ikipita imepita.
 
Tanzania Uchumi mbovu bado mnataka kupumzika. Fanya Kazi kwa Bidii Acha kufikiri kuhusu mapumziko!
Nchi zilizoendelea, zilikuwa hivyo baada ya watu kuwa na bidii ya kazi..eg.china, Japan
 
Back
Top Bottom