valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 870
kumbe hamna idd kesho?
Ratiba yangu ishaharibika. Bora nimejua mapema.
Ratiba yangu ishaharibika. Bora nimejua mapema.
Naona huu jamaa anataka kupotosha watu tu hapa. Hayo ya kulipiza yalishapitwa na wakati.
BTW......mzima lakini wewe?
Niko mzima BAK. Pole kwa kunikosa jana. Yaani hujakosea kabisa.,uliachiwa maarifa na yule mheshimiwa?....Mie Mzima kabisa Madame Keren Happuch.....thanks for asking, na wewe je ukoje? Nimefurahi kukuona nilipita jana mtaani kwenu nikakuta taa zimezimwa nyumbani sijui uliamua kulala mapema au ulienda kujirusha sehemu sehemu Nadhani kesho ni siku ya kazi, hili la kusogeza sikukuu zinazoangukia Jumapili siku moja baadaye lilishafutwa miaka mingi.
Niko mzima BAK. Pole kwa kunikosa jana. Yaani hujakosea kabisa.,uliachiwa maarifa na yule mheshimiwa?....
Nakutakia jioni njema.
jamani taarifa ni kuwa kesho ni mapumziko. Yaani iddi pili! Waislamu watuthibitishie