linapokuja suala la ugaidi watoto huwa ndio hatari zaidi sababu wao ni rahisi kurubuniwa na magaidi wakubwa.
Tumeendelea kuwa mabox ya kuhifadhi ideology za kimagharibi, kabla ya USA hajaanza kutamka neno ugaidi no one else does...Tunaiga tu
tatizo ni watu wengi wanaendelea kushikilia na kuzikubali propaganda za hawa jamaa wauaji na magaidi namba moja duniani ¤ ¤ ¤ U s A.
Dunia inaangamizwa.
Tumeendelea kuwa mabox ya kuhifadhi ideology za kimagharibi, kabla ya USA hajaanza kutamka neno ugaidi no one else does...Tunaiga tu
tatizo ni watu wengi wanaendelea kushikilia na kuzikubali propaganda za hawa jamaa wauaji na magaidi namba moja duniani ¤ ¤ ¤ U s A.
Dunia inaangamizwa.