Kero za mtandao wa Tigo

Kero za mtandao wa Tigo

Ukiachana nao utaenda mtandao gani mkuu. Coz wote lao ni moja tu. In short tunatumia mitandao tuliyonayo kwa sababu tunahitaji mawasiliano na hatuna alternative.
hivo ivo mkuu..ila tunangalia unafuu kidogo
 
Kwani nyie ni wanafunzi wa vyuo? Had mtumie university offer?? Mnapenda kitonga eh? Angalie msije mkawa kama bashite
 
KINACHONIKERA NI MESEJI INATUMWA LEO INAFIKA KESHO AU HATA KESHO KUTWA
 
Habari JF, huu mtandao wa TIGO sasa imekuwa kama desturi kuseize kwa muda huduma zake na kubadili vifurushi bila taarifa. University ofa ya 1500 leo inatoa 10mbs kweli? Mna agenda gani na tunaoperuzi habari zao mara kwa mara?
Nina miaka 10 au 11 natumia huu mtandao ila nimewachoka. jua likitoka ntapanga foleni voda au airtel.

BAADA YA KUBAINI UBABAISHAJI WA WAZI WA HUU MTANDAO
SIKUTAKA SIASA,

NINA WIKI MBILI SASA TANGU NIITUPE HIYO LINE YAO,
NA MAWASILIANO YANASONGA VEMA TU KUPITIA MITANDAO MINGINE TIMAMU.
 
Back
Top Bottom