Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,742
- 7,431
Mtandao wa tigo umekuwa wa kipuuzi tokea Mh. Manji kumiliki huu mtandao. Wahindi wamezidi wizi, siku zote, waindi wanapenda faida ya juu sana, kitu ambacho itafanya biashara nyingi za tigo ziwe changamoto. Wahindi punguzeni udikteta katika biashara. Kama biashara kariakoo zimekuwa changamoto, mnaingia katika Mitandao kwa style hii, mttafanya watumiaji wakimbie