luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Kama kichwa cha habari kilivyo.
Ukipita njia ya Tabata Segerea kuelekea Ukonga ukifikanpale Majumba Sita kuna trafic light pale kuna michoro ya zebra ambayo ni wazi dereva mgeni wa njia ile ni vigumu kutambua.
Kero hii imekuwa inachangiwa zaidi na trafiki ambao kazi yao ni kuandikia tu notification gari itakayo kanyaga zile zebra.
Uongozi unahusika mkachore upya zile alama pale ni kero.
Ukipita njia ya Tabata Segerea kuelekea Ukonga ukifikanpale Majumba Sita kuna trafic light pale kuna michoro ya zebra ambayo ni wazi dereva mgeni wa njia ile ni vigumu kutambua.
Kero hii imekuwa inachangiwa zaidi na trafiki ambao kazi yao ni kuandikia tu notification gari itakayo kanyaga zile zebra.
Uongozi unahusika mkachore upya zile alama pale ni kero.