Black Butterfly
Member
- Aug 31, 2022
- 54
- 99
Kama hazikuwa na maana kwanini zilijengwa na bila shaka kwa gharama kubwa na kupoteza Fedha za walipa Kodi? na cha ajabu bado Trafiki wanasimama pale kwaajili ya kuongoza Magari wakati Taa zipo na hazifanyi kazi
Hebu mamlaka zitwambie nini kinakwamisha taa hizo kuwashwa ili ziongoze Magari katika njia Panda hiyo inayopitisha Magari ya Chang'ombe, Vingunguti, Segerea na Tabata.