vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Hivi Mods inawezekana Jukwaa La kero za Wananchi kuanzishwa?
Nina uhakika Jukwaa hili litavuta hisia ya Viongozi wengi hasa wabunge na watazifikisha kunakostahili.
Hapa Dar es salaam kuna kero nyingi ambazo wananchi tungependa kuwafikishia viongozi wetu na nafikiria hii ndio itakua njia sahihi ya kuwasilisha kero zetu.
Naomba nianze na kiongozi mchapa kazi mzee Magufuli:
Mheshimiwa Traffic lights za Changombe na zile za some distance from sabasaba hazifanyi kazi. Nilitegemea kwa tatizo hili tungekuwa na Mbadala wa Askari wa kuongozea magari muda wote. ila la kushangaza ni mara chache sana utakuta askari maeneo yale.
Hivi mkisikia kuna DCM limepta ajali pale na makumi ya maisha ya watanzania wasio na hatia yamepotea ndio mtachukua hatua? Binafsi ninaamini sana katika uchapa kazi wa magufuli, sitaki kuamini ukakamavu wake ni kwenye majukwaa tu. Ninaaamini na nitabaki kuamini kuwa huyu mmoja kati ya viongozi wa wachapa kazi hapa Tanzania.
Nina kero nyingi ambazo nataraji kiziwalisha kwenye hilo jukwaa la ''KERO ZA WANANCHI''
Updates:
Hii Imetokea leo. tar 6/6/12. marely 2 days after I stated this thread:
Uzembe Wa Madereva Na Ubovu Wa Taa Barabarani Kusababisha Ajali
Ajali hii imetokea alfajir ya leo kwenye makutano ya mandela road na kilwa road ilihusisha malori mawili kwenye taa za kuongozea magari uhasibu ambapo mashuhuda walisema lori la kampuni ya Azam halipo pichani, lilishika breki ghafla katikati ya taa za kuongozea kupisha gari ndogo iliyokuwa ikitokea jitegemee kwenda sabasaba,dereva wa lori alishindwa kulidhibiti wakati akijaribu kulikwepa lori la Azam na kuishia kugonga nguzo ya Taa na kuanguka ,dereva alivunjika miguu yote miwili na kukimbizwa hospitalini.
Nina uhakika Jukwaa hili litavuta hisia ya Viongozi wengi hasa wabunge na watazifikisha kunakostahili.
Hapa Dar es salaam kuna kero nyingi ambazo wananchi tungependa kuwafikishia viongozi wetu na nafikiria hii ndio itakua njia sahihi ya kuwasilisha kero zetu.
Naomba nianze na kiongozi mchapa kazi mzee Magufuli:
Mheshimiwa Traffic lights za Changombe na zile za some distance from sabasaba hazifanyi kazi. Nilitegemea kwa tatizo hili tungekuwa na Mbadala wa Askari wa kuongozea magari muda wote. ila la kushangaza ni mara chache sana utakuta askari maeneo yale.
Hivi mkisikia kuna DCM limepta ajali pale na makumi ya maisha ya watanzania wasio na hatia yamepotea ndio mtachukua hatua? Binafsi ninaamini sana katika uchapa kazi wa magufuli, sitaki kuamini ukakamavu wake ni kwenye majukwaa tu. Ninaaamini na nitabaki kuamini kuwa huyu mmoja kati ya viongozi wa wachapa kazi hapa Tanzania.
Nina kero nyingi ambazo nataraji kiziwalisha kwenye hilo jukwaa la ''KERO ZA WANANCHI''
Updates:
Hii Imetokea leo. tar 6/6/12. marely 2 days after I stated this thread:
Uzembe Wa Madereva Na Ubovu Wa Taa Barabarani Kusababisha Ajali
Ajali hii imetokea alfajir ya leo kwenye makutano ya mandela road na kilwa road ilihusisha malori mawili kwenye taa za kuongozea magari uhasibu ambapo mashuhuda walisema lori la kampuni ya Azam halipo pichani, lilishika breki ghafla katikati ya taa za kuongozea kupisha gari ndogo iliyokuwa ikitokea jitegemee kwenda sabasaba,dereva wa lori alishindwa kulidhibiti wakati akijaribu kulikwepa lori la Azam na kuishia kugonga nguzo ya Taa na kuanguka ,dereva alivunjika miguu yote miwili na kukimbizwa hospitalini.