Wajameni binafsi nimekuwa mhanga mkubwa wa matatizo tangia ujenzi wa hii barabara uanza,Sijuii Tanroads na Wizara ya Ujenzi hawalioni hili.
Au kwa kuwa wao wanakaa Obay na Masaki ? Sisi watu wa Mbezi ni shida tupu yaani unaamka saa kumi asbuhi unarudi nyumbani saa 5 usiku.
Sasa naomba kuuliza pamoja na hiyo kero hivi zile kona za kitongo pale Kimara ni za nini haswa ?
Tumeshuhudia wiki 2 zilizopita jinsi kulivyokuwa na ajali mbaya pale.
Magufuli tunaomba utusaidie.:A S thumbs_up:
Au kwa kuwa wao wanakaa Obay na Masaki ? Sisi watu wa Mbezi ni shida tupu yaani unaamka saa kumi asbuhi unarudi nyumbani saa 5 usiku.
Sasa naomba kuuliza pamoja na hiyo kero hivi zile kona za kitongo pale Kimara ni za nini haswa ?
Tumeshuhudia wiki 2 zilizopita jinsi kulivyokuwa na ajali mbaya pale.
Magufuli tunaomba utusaidie.:A S thumbs_up: