KERO Kero ya Maji

KERO Kero ya Maji

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Fukuza Mkurugenzi ,Waziri na Katibu wa Wizara.
Hata Ufukuze Wizara Nzima haitasaidia, shida ni vipaumbele vya Serikali. Ni aibu mpaka leo hakuna maji wala umeme wa uhakika wakati hivi vitu ni very basic na kila mtu anatakiwa kuvipata kuanzia masikini wa mwisho mpaka Tajiri.
 
Kunywa maji ya Bomba TZ ni anasa kiasi watawala wanaotumia kama spana ya kukazia maskini.!

'Wape shida ili wajadili shida wasikuone wewe'

Tabu ya kuongoza na Matahira
 
Nyie 2 % ndo hamna maji sie wa 98% tunamwag8lia hadi maua huku
 
1765696562978.jpg
 
Kuitegemea serilikali utaumia Kama mnaweza mnajikusanya kimtaa mtaa mnachimba Kisima chenu.
Na hizo kodi watu wanazolipa zina Kazi gani ? ,ninyi si mnajiita nchi tajiri na hamuitaji misaada ya mabeberu au ,kwa nini watu walipe kodi Kama hamna Huduma za kijamii ? Na wewe punga na mazoba wenzako mpo humu Siku na VPN nzima kusambaza propaganda mfu za kahaba maushungi wa kizimkazi kwa mtandao uliopigwa ban
 
Na hizo kodi watu wanazolipa zina Kazi gani ? ,ninyi si mnajiita nchi tajiri na hamuitaji misaada ya mabeberu au ,kwa nini watu walipe kodi Kama hamna Huduma za kijamii ? Na wewe punga na mazoba wenzako mpo humu Siku na VPN nzima kusambaza propaganda mfu za kahaba maushungi wa kizimkazi kwa mtandao uliopigwa ban
Hao mabeberu wanaleta misaada gani ebu acha hiyo colonial mindset.

Haya magonjwa Kama Ukimwi , TB , UTI , Corona wameyaleta wao ili wauze dawa

Leo mnawasifu kwa misada ya kipumbavu Kama Condom na vyandaruwa


Ikiwa nyie wananchi mtakaa kuisubiri Serikali iwafanyie kila kitu mtaumia Sana

Mbona misikiti inachimba visima na wanapata maji.

Iweje wanachi mshindwe kuunganisha nguvu kuwa na kisima chenu n.k
 
Hata Ufukuze Wizara Nzima haitasaidia, shida ni vipaumbele vya Serikali. Ni aibu mpaka leo hakuna maji wala umeme wa uhakika wakati hivi vitu ni very basic na kila mtu anatakiwa kuvipata kuanzia masikini wa mwisho mpaka Tajiri.
Kweli kuanza upya siyo ujinga ,watakaoajiriwa upya wanapewa KPI ,wakishindwa ni kufukuza tu ,lazima wapewe target ,makampuni binafsi yanafanya vizuri kwasababu wana target/KPI ukishindwa kumeet unaondolewa.

Kutatua kero ya maji ni rahisi sana kwa hapa TZ kwasababu fedha tunazo na water souces tunazo ,kilichokosekana na kimpaumbele na nia kwa viongozi.
 
Back
Top Bottom