Kero: Vodacom, kabla ya tarehe 26 mwezi huu, nitakuwa nimeivunja line yenu

Mi wakitaka kuamini computer zao zina majibu tangu waweke mb 8 nadhani kuna kitu kwangu wamejifunza siwekagi vouchers hovyohovyo tena 0763737389 @Voda ikiwezekana mniblock hiyo line
 


Actually, pengine tufanye utafiti kuona kama wizi huu ni kwa baadhi ya watu tu au ni kwa kila mtu. Kama una laini ya Voda, iwekee shilingi mia tano na usiitumie toka asubuhi mpaka jioni tuone. Ikiwa hawatakata, uje hapa kuripoti.

Usisahau kuondoa "data". Kama utaona vipi, wi-fi iweke off.
Laini iweke kabisa kwenye kisimu cha tochi kama unacho.

hakuna haja ya utafiti mkuu kila anayelalamika hapa kashatendwa na machungu anayajua
 
Vodacom si wezi tu ni majambazi...... voda muwe na aibu kidogo..... mnatuibia sana...
zaidi ya mara 2 nyakati tofauti tofauti nimeweka salio kabla sijalitumia na sijakopa.... naangalia salio hamna...... watu huku mtaani wanawalalamikia sana.......hamna cha data on wala off..... acheni wizi.
 
Voda sina imani nao tena,toka ninunue umeme wa luku wakanikata hela bila kunitumia TOKEN.Ss hivi line yao naitumia kama urembo.
 
Kiukweli watu wengi hata hapa mkoani Geita wanaisema vibaya voda na Tigo na Airtel kuanza kushika soko kwa kasi sana.
 
Vodacom si wezi tu ni majambazi...... voda muwe na aibu kidogo..... mnatuibia sana...
zaidi ya mara 2 nyakati tofauti tofauti nimeweka salio kabla sijalitumia na sijakopa.... naangalia salio hamna...... watu huku mtaani wanawalalamikia sana.......hamna cha data on wala off..... acheni wizi.

Yaani mkuu umenigusa, nshawah nunua MB 200 na kuingia jf dakika 5 bila kudownlod hata picha ikaja SMS nimefika kikomo... NAJUTA kuwafaham Vodacom
 
Wapeleke mahakamani wakulipe na fidia, wameshazoea kuwa sisi ni kina ndio na wameshatudharau kabisa.
 
Vodacom si wezi tu ni majambazi...... voda muwe na aibu kidogo..... mnatuibia sana...
zaidi ya mara 2 nyakati tofauti tofauti nimeweka salio kabla sijalitumia na sijakopa.... naangalia salio hamna...... watu huku mtaani wanawalalamikia sana.......hamna cha data on wala off..... acheni wizi.
Tafuta mwanasheria wapeleke mahakamani ndio mpango wangu kwa sasa bado nakusanya ushahidi kwani waliyonitenda ni mengi kuliko.
 
huu ndo mda wa makampuni kama zantel kupiga bao,tatizo meneja masoko wao sijui la saba wale?,
 
siupendi huu mtandao ila nitafanyeje? huku kwetu ndio mtandao pekee wenye uafadhali kwa internet... inanilazimu kununua mb 200 daily bt really nauchukia kupita maelezo.
 
Sina neno la kuita zaidi ya kusema huu 'wizi' sasa nimechoka nao, mara ya kwanza mlitaka kunipiga kimya sh 435,000/ nilizokuwa natupia kwny akaunti yangu ya benki kutokea simu ya mkononi line yenu ikihusika.

Baada ya kuifuatilia sana na vitisho vingi hatimae kwa aibu mkanirudishia. Mara ya pili kuna mtu alikosea namba kwny kutuma pesa ikaja kwangu sh 700,000/ nikatumia uungwana nikawapigia na mkanipa maelekezo ya kuituma kwenu, nikaituma, cha kushangaza ni yule aliyekosea kunipigia na kuomba nimrudishie, nikampa maelezo kwa kirefu kuwa nimeirudisha voda.

Huyo mdada aliendelea kunifuatilia kwa zaidi ya wiki hadi nikaamua kuacha shughuli zangu na kuja kwny ofisi zenu na huyo dada eti ndio mkamrudishia pesa yake, Mara ya tatu ni juzi nimeweka vocha ya sh elfu 5, na mtandao wa kujiunga na cheka ulikuwa unasumbua nikaachana nao nikatumia mtandao mwingine.

Sasa maajabu ya mwaka, tangu hiyo juzi cjatumia voda, hadi muda huu naandika hapa (najua mtasoma) imebaki sh 2900!

Sasa nimetoa hizo cku tisa ili mrekebishe hilo tatizo ikishindikana nitachukua maamuzi mazito ya kuipasua pasua line yenu kwa hasira kali, halafu pamoja na udogo wake naitia kiberiti, na familia yangu yote nitaipiga stop kubwa kutumia/kuonekana na line ya voda achilia mbali kuizungumzia, na kampeni hii nitaieneza kwa marafiki zangu wote waachane na hiyo kitu, sintoishia hapo, nitahamia kwa wenye maduka wa mtaani kwetu nako nitapeleka propaganda hizi, halafu mwisho cku muwe kama TTCL.

Naipenda sana Vodacom T Ltd ndio maana ckutaka kuchukua maamuzi magumu kwa haraka,basi jaribuni kurudisha mema kwenye huu upendo wangu kwenu.

Bado unayo mpaka leo kweli ww ni mvumilivu kuna ck nilinunua mda wa hewani toka kwenye mpesa akagoma baadae wakaniambia nimefanikiwa nikiwa najiunga nikaambiwa hela haitoshi baadae ninaangalia salio la mpesa nikakuta kunatofauti ya elfu tano na ile niliyoinunua bila kujiunga ikaisha hawa ndio vodarostamccm
 
Yote 9... Juzi mi nimeweka 10000 ili nipate internet bundle kwa wiki ( wanacharge 7000, data off) acha iload mpaka nikaendelea na shughuli nyingine... Baada ya kam dk5 nikacheck tena ka nimepata bundle...OMG! nilikuta 0.00 balance. J3 nxt week nitawachukulia hatua kali sana!
 
Mbona mimi vodacom ipo fresh sana?! sijawah kuibiwa, kukatwa vocha ovyo ovyo wala nini! au labda wananiogopa! let see,,,
 
Back
Top Bottom