Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,086
- 34,000
Habarini Wadau.
Mimi ni Mtumiaaji wa line mbili za simu ila kwa mwaka huu mzima tangu uanze nimekuwa nikitumia line ya Vodacom kujiunga na vifurushi ila nikikuwa nikiambiwa Mara kadhaa kuwa Vodacom ni wezi wa pesa za Wateja na sikukubali mpaka iliponikuta Sasa.
Kuna wakati Vodacom walikuwa wananikata 200/= kila ninapoweka Salio, kwa mfano nikiweka 1000/= linabaki 800/= au ukiweka 5000/= inabaki 4800/= hivyo inashindikana kujiunga na vifurushi ninachokitaka.
Niliwapigia Huduma kwa wateja, Dada mmoja akaniambia nimeunganishwa sijui kwenye Huduma ya SOKA LETU, wakati sikuwahi kujiunga wala kuhitaji Huduma hiyo.
Wakanikata tena baada ya wiki 2 nikawauliza wakaniambia nimeunganishwa na Huduma ya Music ilihali sikuwahi kujiunga wala kutaka hizo Huduma.
Sasa juzi nimeweka kifurushi cha 2000/= na sikutumia kabisa line ya voda sikuhiyo, siku inayofuata nimetaka kujiunga nikaambiwa Salio halitoshi. Kutizama salio nakuta 1800/= kidogo niwapigie kuwatukana.
VODACOM ninyi ni wezi wa pesa za wateja wenu.
Acheni wizi na uhuni.
Mimi ni Mtumiaaji wa line mbili za simu ila kwa mwaka huu mzima tangu uanze nimekuwa nikitumia line ya Vodacom kujiunga na vifurushi ila nikikuwa nikiambiwa Mara kadhaa kuwa Vodacom ni wezi wa pesa za Wateja na sikukubali mpaka iliponikuta Sasa.
Kuna wakati Vodacom walikuwa wananikata 200/= kila ninapoweka Salio, kwa mfano nikiweka 1000/= linabaki 800/= au ukiweka 5000/= inabaki 4800/= hivyo inashindikana kujiunga na vifurushi ninachokitaka.
Niliwapigia Huduma kwa wateja, Dada mmoja akaniambia nimeunganishwa sijui kwenye Huduma ya SOKA LETU, wakati sikuwahi kujiunga wala kuhitaji Huduma hiyo.
Wakanikata tena baada ya wiki 2 nikawauliza wakaniambia nimeunganishwa na Huduma ya Music ilihali sikuwahi kujiunga wala kutaka hizo Huduma.
Sasa juzi nimeweka kifurushi cha 2000/= na sikutumia kabisa line ya voda sikuhiyo, siku inayofuata nimetaka kujiunga nikaambiwa Salio halitoshi. Kutizama salio nakuta 1800/= kidogo niwapigie kuwatukana.
VODACOM ninyi ni wezi wa pesa za wateja wenu.
Acheni wizi na uhuni.