Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,115
Hahaha, wengine wanakuambia mwisho wa kuoga ni saa mbili jioni
Na huruhusiwi kupika nyama jumatatu
Loh....logic behind?
Hahaha, wengine wanakuambia mwisho wa kuoga ni saa mbili jioni
Na huruhusiwi kupika nyama jumatatu
Mkuu kwa kamba upo vizur...keekee kee
Kuna sredi humu inasema KIJANA KUJRNGA NYUMBA NI UOGA WA MAISHA. endelea kupanga na kuzungusha baloon
Juzi kuna gari lilikua limebeba kuku broiler limepata ajali. Mimi nikaokota kuku saba kufika nyumbani nikamgawia mama mwenye nyumba wawili. mpangaji mwenzangu wawili na mimi watatu. baba mwenye nyumba aliposikia nimempa mkewe kuku wawili tena wazima. Aliwaka kama kifuu lakini kuku alikula. huyu mpangaji mwenzangu alihisi mkewe ni mchepuko wangu. alihama kesho yake na vijembe viingi tu. Baba mwenye nyumba haniamini tena.
Mkuu nimegundua kuku Dar ni bonge ya dili. Kumbe ndio maana ukipata mchepuko ukimuuliza atakula nini kabla ya mechi utasikia KUKU WA KUCHOMA NA CHIPSI. kinywaji REDDS
Nimepanga chumba,Masharti niliyoyakuta nimeshachoka kuishi katika hii nyumba.
Kinachonichosha ni hiki wanakata umeme asubuhi saa mbili kuwasha saa kumi na mbili jioni.
Nilipokuwa nalipa kodi sikuambiwa mpaka mimi nilipoanza kuulizia kwa sababu kutokana na kazi yangu nachelewa kulala na kuamka pia.
Wewe ni jirani yangu. Habari ya kumgawia kuku mke wa mwenye nyumba tumeisikia. Ila kabla ya habari hiyo kulikua na habari nyingine tata kuhusu wewe kumgawia samaki huyo mama kila mumewe anaposafiri.pia kuna tetesi ya wewe kubaka watoto wadogo. Kwa kifupi hapa mtaani wote hatukutaki. Kwa faida yako naomba uhame leo leo kwani kesho vijana wa hapa wamepanga kukufanyia kitu mbaya sana
Kubaka mtoto mdogo ndio dhambi ya mwisho duniani. MUNGU aniepushe nayo. Hii ya kumkirimu mama mwenye nyumba sio kweli kwani ni vigumu mtu ukaange samaki sufuria zima halafu mke wa mkuu analumangia na kisamvu hakina hata wese.
Kuna sredi humu inasema KIJANA KUJRNGA NYUMBA NI UOGA WA MAISHA. endelea kupanga na kuzungusha baloon
Ndiyo changamoto hiyo mkuu,jipange ujenge yako uondoke utumwani...
Juzi kuna gari lilikua limebeba kuku broiler limepata ajali. Mimi nikaokota kuku saba kufika nyumbani nikamgawia mama mwenye nyumba wawili. mpangaji mwenzangu wawili na mimi watatu. baba mwenye nyumba aliposikia nimempa mkewe kuku wawili tena wazima. Aliwaka kama kifuu lakini kuku alikula. huyu mpangaji mwenzangu alihisi mkewe ni mchepuko wangu. alihama kesho yake na vijembe viingi tu. Baba mwenye nyumba haniamini tena.
Mkuu usitunyanyapae tunaopanga....ipo siku na sisi tutajenga kama wewe na tutainjoi maisha!
wewe ni mwizi! Haraka kamtafute aliyepata ajali, mrejeshee kuku wake! Ninyi ndio wale mnaowaaibia majeruhi/wahanga wa ajali. Kwepa laana maana umethubutu kukiri mbele za kadamnasi, jitakatifishe sasa kwa kuwarudisha!