Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,740
Siku moja nilibadilishwa kikazi kufanya sehemu nyengine mkoa X .
Nikatafuta dalali kutaka nyumba ila kila napo pelekwa naona tu ni kama nyumba nyingi zimeamuwa kubadilishwa kuwa za kupangishwa au kulazimishwa tu sababu ya vigezo wanavosikia madalali.
Unakuta nyumba unaambiwa ni self container ila unajiuliza walifanyeje mpaka ikawa hivo yani kulazimisha tu.
Utengenezaji wa nyumba nafasi ni ufinyu mpaka unashindwa kununua vitu vingi sababu ya nyumba yenyewe.
Mwenye nyumba na wapangaji ili nalo yani mwenye nyumba kuwa na banda ya nyuma na yeye anapangisha.
Lingine kuishi na mwenye nyumba sehemu moja.
Ukilinganisha na nchi nilizo kwenda unaona kabisa ukitaka nyumba ya kupanga au chumba unajua kabisa maitaji yako yanaendana na ulichotaka
Nikatafuta dalali kutaka nyumba ila kila napo pelekwa naona tu ni kama nyumba nyingi zimeamuwa kubadilishwa kuwa za kupangishwa au kulazimishwa tu sababu ya vigezo wanavosikia madalali.
Unakuta nyumba unaambiwa ni self container ila unajiuliza walifanyeje mpaka ikawa hivo yani kulazimisha tu.
Utengenezaji wa nyumba nafasi ni ufinyu mpaka unashindwa kununua vitu vingi sababu ya nyumba yenyewe.
Mwenye nyumba na wapangaji ili nalo yani mwenye nyumba kuwa na banda ya nyuma na yeye anapangisha.
Lingine kuishi na mwenye nyumba sehemu moja.
Ukilinganisha na nchi nilizo kwenda unaona kabisa ukitaka nyumba ya kupanga au chumba unajua kabisa maitaji yako yanaendana na ulichotaka