Kero: TCRA mlisema local channel ni bure mbona zinalipiwa?

Serikali wameshindwa vipi kusimamia sheria kuhusu vin'gamuzi?

Serikali kila siku wanatoa matangazo kkuhusu chaneli za bure lkn hakuna utekelezaji unaofanyika badala yake wanatumia raia kutoa taarifa ina maana wao hawaoni?
Hata njia wanazotumia ili kupata taarifa ni ngumu kweli kwa watu ambao hawajui mambo ya email address wataweza vipi kutoa taarifa?

Unaonaje mdau
 
Angekuwa Mkapa au Kikwete amelalamika angesikilizwa mara moja.Watu wengine wadogo kama wewe wanakuona takataka tu.
 
Naona kama TCRA inawachekea chekea vile. Hawa ni kuwapa siku 7, baada ya hapo wanawazimia mitambo. Watatekeleza agizo fasta, maana itawagarimu kwenye mataganzo.
 
Jaman wakuu humu ndani inakuaje mamlaka ya mawasiliano imetangaza chanel 5 bure na Leo Mi nimekatiwa kisa mwezi umeisha?. Tuwekeni channel izo watu tufuraie uhuru huu
Nenda kwenye web ya Tcra au waandikie email uoneshe mahali ulipo,muda na station gani hupati,acha kulia mtandaoni
 
Nyie watu wa ajabu sana. Hivi Joti anapojipodoa m naamini kabisa kuwa Mungu kafanya na kumfanya demu ?M naamini kabisa?Ama kweli hii ni nchi ya vi wonder
 
Nyie watu wa ajabu sana. Hivi Joti anapojipodoa m naamini kabisa kuwa Mungu kafanya na kumfanya demu ?M naamini kabisa?Ama kweli hii ni nchi ya vi wonder
Mkuu ulichokiandika umekielewa?
Uhusiano wa ulichokiandika na mada husika ni upi?
 
Ujamaa mbaya sana. Watu wengi wanapenda maisha ya ujamaa kwa vitu muhimu. Dunia ya sasa inahitaji pesa kutoka kwako ndio iende na sio kukaa kutegemea serikali
 
Kitendo cha king'amuzi cha star times kukaidi agizo la serikali la kuonyesha local channels bila wananchi kulipia je wako juu ya sheria?
 
Nimeenda startimes wameniambia nilipie 55,000/= ndio waniweke kwenye mfumo wa hizo local cannels bure..
 
Mkuu sahau Hlo wamiliki wa ving'amuzi wameiweka serikal mfukon baba jeska na ukali wake wote hapo hawezi Amin mkuu
Nawasiwasi kama hao wakubwa huwa wanalipia! Takukuru chunguzeni kwa hao tcra kama wao hulipia vifurushi vya TV huko majumbani kwao! Kwa nini wanajifanya hawajui kama jamaa hutukatia huduma kabisa hakuna cha free to air wala nini! Dstv walikuwa wanaachia TBC tu.
 
Nyie watu wa ajabu sana. Hivi Joti anapojipodoa m naamini kabisa kuwa Mungu kafanya na kumfanya demu ?M naamini kabisa?Ama kweli hii ni nchi ya vi wonder

Hapa nimetoka kapa kilichoandikwa hakina mantik na mada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom