Bururu JF-Expert Member May 21, 2016 877 583 Aug 29, 2021 #1 Morogoro kijiji cha Mkuyuni hakuna umeme wiki mbili sasa, ni shida kwa wafanyabiashara.
Mmawia JF-Expert Member Aug 20, 2013 121,947 95,237 Aug 29, 2021 #2 Bururu said: Morogoro kijiji cha Mkuyuni hakuna umeme wiki mbili sasa, ni shida kwa wafanyabiashara. Click to expand... Ondoa ccm hiyo ndiyo chanzo cha matatizo
Bururu said: Morogoro kijiji cha Mkuyuni hakuna umeme wiki mbili sasa, ni shida kwa wafanyabiashara. Click to expand... Ondoa ccm hiyo ndiyo chanzo cha matatizo
kirikou1 JF-Expert Member Nov 8, 2016 4,802 6,468 Aug 29, 2021 #3 hivi hili jimbo si la Morogoro vijijini? 😅😅😅
adrenaline JF-Expert Member Jun 17, 2015 2,887 4,386 Aug 29, 2021 #4 Toeni pesa kwa miamala tupate Tozo
Bururu JF-Expert Member May 21, 2016 877 583 Aug 30, 2021 Thread starter #5 kirikou1 said: hivi hili jimbo si la Morogoro vijijini? 😅😅😅 Click to expand... Kumbe Mbunge wake ni Manager oh my God
kirikou1 said: hivi hili jimbo si la Morogoro vijijini? 😅😅😅 Click to expand... Kumbe Mbunge wake ni Manager oh my God
Bambushka JF-Expert Member Jan 9, 2020 3,956 7,209 Aug 30, 2021 #6 Huko Tanesco wanajua hakuna watu zaidi ya migomba, miwa na mafenesi, hata brazamen wao mbunge hakai huko atawatetea nani?? Everyday is Saturday...............................
Huko Tanesco wanajua hakuna watu zaidi ya migomba, miwa na mafenesi, hata brazamen wao mbunge hakai huko atawatetea nani?? Everyday is Saturday...............................
Bururu JF-Expert Member May 21, 2016 877 583 Aug 31, 2021 Thread starter #7 Bambushka said: Huko Tanesco wanajua hakuna watu zaidi ya migomba, miwa na mafenesi, hata brazamen wao mbunge hakai huko atawatetea nani?? Everyday is Saturday............................... Click to expand... Nasikia hata Katibu wa Mbunge anaishi Dar
Bambushka said: Huko Tanesco wanajua hakuna watu zaidi ya migomba, miwa na mafenesi, hata brazamen wao mbunge hakai huko atawatetea nani?? Everyday is Saturday............................... Click to expand... Nasikia hata Katibu wa Mbunge anaishi Dar