Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 189
Nimeikuta hii mitaa ya Mikocheni, Mtaa wa Sam Nujaoma(karibu na kiwanda cha Coca cola).
Gari kubwa lilosheheni zigo la kutosha, badala ya kuongoza zake Morogoro rodi aende zake Zambia au Malawi , dereva kaamua kukata mitaa.
Matokeo gari limeshindwa kukata kona na kuzimika, hatimaye kuziba barabara.
Nimekaa hapo lakini ri-afwande Arufonsi wara harikutokea.

Gari kubwa lilosheheni zigo la kutosha, badala ya kuongoza zake Morogoro rodi aende zake Zambia au Malawi , dereva kaamua kukata mitaa.
Matokeo gari limeshindwa kukata kona na kuzimika, hatimaye kuziba barabara.
Nimekaa hapo lakini ri-afwande Arufonsi wara harikutokea.

