Nyinine ni kukupigisha storyKama kichwa cha habari kinavojieleza...kwakweli kuna tabia za vinyozi hua zina kera sana unapokua umeenda kupunguza nywele...
1; Unakuta kinyozi .anapokea simu anaanza kuongea huku anaendelea na kazi ya kukata nywele au anaweza akastop kazi husika na akaendelea kuongea na simu,na unakuta maongezi ya kipuuzi tu...kwakweli inakera sana!
2; Vinyozi wavivu,yeye kazi yake ni kukuzungusha kichwa kama steering vile anaendesha gari...yani yeye hataki kuzunguka,au hata kuzungusha kiti...kazi yake inakua ni kukuzungusha kichwa utasema anataka kuking'oa...kwakweli inakera.
3; Mashine mbovu mbovu, imekua tatzo sana ktk saloon nyingi skuiz...unakuta mashine inabadili mlio afu kinyozi anastop anachukua screw driver anaanza kuikaza kaza baadhinya nati...ikikaa sawa anaendelea na zoezi hilo ni endelevu...inaboa sana!
4; Kinyozi unakuta anakupitishia waya wa mshine mara shingoni,mara unapita kifuani,mara aushike aurishie kati kati ya miguu yako...inakua kero ...hajui kua ule ni umeme cjui...
Kwakweli kero ni nyingi wadau...leteni zenu hapa nahisi wahusika wakisoma watajirekehisha!
Fact mkuu,unakuta mtu ananyoa huku anaongea kwenye simu,au ana pause anasoma msg afu anaanza kuchekaaaa...ndo anaendeleaKwa taaarifa yako wenye tabia hiyo ni hizo hizo saloon kubwa ndizo zenye vijana wanaijiona, wanaojisikia, wenye tabia ya kujifanya kuwa wanaweza nyoa Kwa kutumia mkono mmoja hizo za 1000 Simu ikiiita hawapokei Kwanzaa ni waoga Kwa wateja
Mi huwa nawachana live.Yeah inaboa sana...
Bwana kinyozi[emoji1][emoji1]Imependeza sana, bila shaka umenifundisha kitu, i wont let this happen.
Nunua mashine yako mkuu kuondokana na keroKama kichwa cha habari kinavojieleza...kwakweli kuna tabia za vinyozi hua zina kera sana unapokua umeenda kupunguza nywele...
1; Unakuta kinyozi .anapokea simu anaanza kuongea huku anaendelea na kazi ya kukata nywele au anaweza akastop kazi husika na akaendelea kuongea na simu,na unakuta maongezi ya kipuuzi tu...kwakweli inakera sana!
2; Vinyozi wavivu,yeye kazi yake ni kukuzungusha kichwa kama steering vile anaendesha gari...yani yeye hataki kuzunguka,au hata kuzungusha kiti...kazi yake inakua ni kukuzungusha kichwa utasema anataka kuking'oa...kwakweli inakera.
3; Mashine mbovu mbovu, imekua tatzo sana ktk saloon nyingi skuiz...unakuta mashine inabadili mlio afu kinyozi anastop anachukua screw driver anaanza kuikaza kaza baadhinya nati...ikikaa sawa anaendelea na zoezi hilo ni endelevu...inaboa sana!
4; Kinyozi unakuta anakupitishia waya wa mshine mara shingoni,mara unapita kifuani,mara aushike aurishie kati kati ya miguu yako...inakua kero ...hajui kua ule ni umeme cjui...
Kwakweli kero ni nyingi wadau...leteni zenu hapa nahisi wahusika wakisoma watajirekehisha!
Kabisa mkuu, tena wenzake huwa wanani-mind kichiz[emoji3]Hapa tupo kundi moja, Mimi hua naonekana mbaguzi lakini sitaki kila mtu anyoe kichwa changu
Saluni nyingi classic na zenye bei za juu unakuta vinyozi si wazoefu... Nilishaingia saluni moja morogoro nikanyolewa kibwenzi si cha nchi hii.Tena hizi ambazo zina Ac unakuta kuna kundi kubwa la watu ambao hawajaja kunyoa wapo tu hata personality zao zinatia mashika, kinyozi ananyoa anapiga story..mara awashe tv mara aweke sauti kubwa ya mziki.... utadhani umemwambia ndio kilichokuleta. ..ukimuelekuza analeta ujuaji.
Imefika hatua nachukia kuingia barber shop simply naingia ka saloon simple and smart kitaa basi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chegani duh...! Maneno ya kiswahili huwa yanabuniwa vipi,? Yana sound vibaya!Salon sio kiswahili jamani, tutumie neno la kiswahili-Chegani
Hili tatizo sugu kwakweli, Mimi huwa nawaambia ondokeni nataka ninyoe.