Kero: George Marato wa ITV

Kero: George Marato wa ITV

dopeboy

Senior Member
Joined
Sep 22, 2014
Posts
121
Reaction score
100
Huyu ripota kwa kweli huwa nikisikia tu sauti yake nabadili chanel yani anatafuta attention kwa nguvu sana na utofauti usio na msingi. Yani ananikera kama sauti ya mbu ukiwa umelala . So unprofessional.

Amewahi kuona ripota gani wa kuheshimika anapoteza muda kwa kuvuta maneno kama yeye? Jirekebishe unakera sana jinsi unavyovuta makusudi maneno yako. Hata haipendezi. Kero sana. Yani.
 
Sio wewe tu, dawa yake una MUTE sauti. Alafu cha kushangaza redioni anapngea kawaida!
 
Yule wa michezo Mimi ndo simpend kabisa anavyovuta saut,Watangazaj wa TV kuwen natural mbwembwe zingine had zinakera
 
Kuna yule wa taarifa ya michezo khaaaaa ...ana misamiatiii anavuta sauti... nikimsikia tu nahamisha station..jina lake limenitoka sikapendi..nachefukwagaa

Kivuyo huyo
 
Mi ripota anayenikosha kwa mbwembwe zake ni yule Ja te te Njoroge wa Citizen
 
Kuna yule wa taarifa ya michezo khaaaaa ...ana misamiatiii anavuta sauti... nikimsikia tu nahamisha station..jina lake limenitoka sikapendi..nachefukwagaa

Ajajajajajaja.......yule huwa natamani kuvunja tv......anaitwa sijui nani Kivuyo......uwiiiiii.......kachangia sana kunirudisha nyuma kimichezo..........
 
Mi ripota anayenikosha kwa mbwembwe zake ni yule Ja te te Njoroge wa Citizen

Wakenya wabunifu.......huwezi kuwakuta wakitangaza kipuuzi kama hawa wetu........hata commercial zao zimeenda shule......sio kama za kina Majuto na magodoro Dodoma........kichefuchefu kitupu.........
 
Back
Top Bottom