Kero: Bango la matangazo round about kwa Kakobe

Kero: Bango la matangazo round about kwa Kakobe

Badili njia kama macho yako mabovu. Bango lipo kisheria na tathmini ilifanywa na wataalamu mpaka kutoa kibali. Hatuwezi kusikiliza maoni ya mgonjwa mmoja wa macho. (tutamsaidia pesa ya kupima macho).:crying:
Yetoooni!
 
Ukifatilia sana utakuta hiyo kampuni ni ya wachaga! Na anaelalamika utakuta pia ni mchaga!!!
Mwl Nyerere alisema dalili za mtu aliyefilisika kisiasa au kukosa hoja ni kukimbilia mambo ya ukabila, udini na ukanda. Hawa ndio akina Nape!
 
Haya sasa
Ukimchagua Lowasa kuwa Rais October 25 Ninakupa kioo kipya kabisa cha mbele cha gari yako...Hutatumia kioo chenye ufa tena
attachment.php
 
Ukilikaribia kama ni usiku zima taa za gari yako liache lenyewe likumulike.
 
Ukilikaribia kama ni usiku zima taa za gari yako liache lenyewe likumulike.

...sio kama linareflect!no linataa kali sana..mwanga wake unakupiga direct kwenye macho hata ukizima taa haisaidii
 
hilo bango kuna siku nilumwachia dogo aendeshe gari tulipilikaribia hapo round about nikadhangaa breki za ghafla kumbe alijua lile gari la kwenye tangazo liko road kumbe ni tangazo.

Nashauri kama haiwezekani kulitoa lipunguzwe mwanga laa haiwezekani walipandishe juu zaidi.
 
ile ni around about ya Mlimani city, mkono wa kushoto unaelekea chuo kikuu, mkono wa kulia unaelekea Sinza! Kama unatoka Mwenge unaelea Ubungo! Mbezi, Tabata! Hilo bango kweli ni fupi! Linausawa wa macho!!
 
hilo bango kuna siku nilumwachia dogo aendeshe gari tulipilikaribia hapo round about nikadhangaa breki za ghafla kumbe alijua lile gari la kwenye tangazo liko road kumbe ni tangazo.

Nashauri kama haiwezekani kulitoa lipunguzwe mwanga laa haiwezekani walipandishe juu zaidi.

Bango jingine lenye kero kama hiyo lipo ukimaliza taa za Mnazi Mmoja kama unaelekea Kamata, jirani na Colosseum Hotel. Na lenyewe ni kero usiku, lina mwanga mkali sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom