Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,272
Yetoooni!Badili njia kama macho yako mabovu. Bango lipo kisheria na tathmini ilifanywa na wataalamu mpaka kutoa kibali. Hatuwezi kusikiliza maoni ya mgonjwa mmoja wa macho. (tutamsaidia pesa ya kupima macho).:crying: