Kenyela atolewa u RPC

Kenyela atolewa u RPC

Hakuna polisi msomi.wasomi wote walisha acha upolisi.waliobaki ni wa kuunga unga tu
 
vita vya ukuu kanda maalum maana mzee wangu sele mwezi wa nane anatundika daluga...

nahisi anawekewa mazingira ya kuchukua nafasi ya kova.wapenda umbea washaanza kubwabwaja kuhusisha na siasa.
 
Duh, itakuwa hajafuata maagizo ya ccm, Nadhani atavalishwa gwanda
 
Nimekumbuka Kuna RPC Mbeya alikuwa nadhani anaitwa Samwel Enerst miaka ya 2000 alikuwa kiboko kwa kukamata Majambazi na wahuni wa nondo. Alihamishwa haraka sana baada ya kukamata mizigo ya wakubwa.

RPC wa kinondoni kapigwa chini kapelekwa makao makuu kusoma magazeti...Wambura ndo anakuja kuwa RPC Kinondoni ...kazi ipo..
 
...Kwa kweli Kamand a Kenyela nni mtu safi kwa mtazamo wangu... tangu alipokuwa pale kisutu akiwa mwendesha mashitaka mkuu.. alifanya vizuri..ninasikitika iwapo kweli watamuondoa
 
Kawakamata machangudoa wakati hakuna sheria ya kuzuia uchangudoa, kwi! kwi! kwi!

Kama kitu hujui uwe unauliza wewe. sheria hiyo ipo. kasome Penal Code of Tanzania, chapter 16 of the laws of Tanzania.
 
Don't worry. Huyo mtu wetu CDM. Hata wakimtoa URPc. In 2o15 atauvaa UIgp. Time will tell
 
Dah!..

Mbona anafanya kazi nzuri tu hata pale manzese alifanikiwa kuzuia mkutano wa kamanda mnyika kwa sababu zisizoeleweka

inamaana hiyo haikutosha?..
 
RPC wa kinondoni kapigwa chini kapelekwa makao makuu kusoma magazeti...Wambura ndo anakuja kuwa RPC Kinondoni ...kazi ipo..

Amewakosea wapi wanene tena jamani? Mbona hawa watu wanakuwa hivyo?
Hetu tupatage update ya kilichosababisha hiyo Promotion.
 
Anatafutiwa kanda maalum mpya ambayo itaanzishwa huko Mtwara mda wowote kuanzia sasa kisha ataludi kuchukua nafasi ya Kova baabae
 
Back
Top Bottom