John L. Mihambo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 526
- 180
Eti!???Rpc wa kinondoni kapigwa chini kapelekwa makao makuu kusoma magazeti...wambura ndo anakuja kuwa rpc kinondoni ...kazi ipo..
Eti!???Rpc wa kinondoni kapigwa chini kapelekwa makao makuu kusoma magazeti...wambura ndo anakuja kuwa rpc kinondoni ...kazi ipo..
Usikurupuke Bro...!
Jipange kwa cheo alichonacho sasa wakimpa U Rpc n kama
wanamdharirisha.....tena kinondoni Hivi unajua wazifa ambao kapewa sasa
hivi...Acheni Majungu nyie Raia
Nani atasimamia ile kamatakamata ya akina dada wanaojiuza sehemu mbalimbali Kinondoni!
Mtumishi wa serikali anaweza kuhamishiwa mahali po pote wakati wo wote. Siyo lazima awe ametenda kosa.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mtumishi wa serikali anaweza kuhamishiwa mahali po pote wakati wo wote. Siyo lazima awe ametenda kosa.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
source ni mke wangu anafanya kazi makao ya polisi na ndiye aliyechapisha bafua ya kuhamishwa kenyela
rpc wa kinondoni kapigwa chini kapelekwa makao makuu kusoma magazeti...wambura ndo anakuja kuwa rpc kinondoni ...kazi ipo..