Mkuu unaweza kutupatia source ya hii taarifa ili tuutafute ukweli? Manake hii pandisha vyeo ya Kova na Kamuhanda inasababisha tufukunyue kila mahali ili kujua kinachokwenda kutokea.
Btw kama failures ndio wanakwenda kurundikwa makao makuu, ufanisi wa jeshi la polisi ni dhahiri kuwa unakuwa mashakani.
Mwita uliona walichomfanyia SIMON SIRRO, hata kumpa U DC P ni sababu ya rekodi yake njema na wakubwa wameona aibu ila fitna anazopigwa ni balaa sana. IGP na kundi maslahi lake wanapandisha vyeo wawatakao tu, kwangu DCP Sirro atabaki kuwa shujaa, askari msomi huyu mwenye nidhamu na kusoma nyakati katika kujenga jeshi la polisi la kisasa.