Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,157
- 4,454
Rpc wa kinondoni kapigwa chini kapelekwa makao makuu kusoma magazeti...wambura ndo anakuja kuwa rpc kinondoni ...kazi ipo..
Kosa kubwa alilofanya kuruhusu mikutano ya CHADEMA ya Hazara pale Sinza japo aliagizwa apige marufuku na kuchukua hatua kali kwa watakao kaidi. Wenye kumbukumbu nzuri kumbuka walichokipata CHADEMA pale Iringa fananisha na hapa Dar hasa Kinondoni na vitu kama hivi ndo vimemfanya Kikwete ampandishe cheo Kamuhanda