Anasema ni siasa za upuuzi nchi nyingine kusema kuwa wanaachwa kwenye ujenzi wa reli na kasema mbona wanapangankuunganisha reli kutoka Nairobi hadi Arusha na Moshi. Amesema yeye hawezi kufuatilia siasa za kipuuzo kwani kazi yake ni kuunganisha maendeleo ya Afrika Mashariki.
kama hujasikia, wewe ni kiziwi tafuta clip BBC swahilimimi nimeangalia hiyo speach yote hakuna mahali amesema ni upuuzi kama ulivyosema hapo juu,alichosema ni rumors tu kwamba kenya ina nia ya kutenga nchi nyingine na ameenda mbali na kusema kutakua na uzinduzi wa kuunganisha reli hiyo kutoka voa hadi moshi!!!hii naona ame desa hotuba ya jk pale bungeni!!!
mimi nimeangalia hiyo speach yote hakuna mahali amesema ni upuuzi kama ulivyosema hapo juu,alichosema ni rumors tu kwamba kenya ina nia ya kutenga nchi nyingine na ameenda mbali na kusema kutakua na uzinduzi wa kuunganisha reli hiyo kutoka voa hadi moshi!!!hii naona ame desa hotuba ya jk pale bungeni!!!
nadhani tatizo itakua ni lughaBBC wameweka sauti yake Uhuru Kenyatta, ni kweli ametumia neno UPUUZI.
Sijui Kwanini unapotosha hotuba yake!!. Humtendei haki, yule ni mkuu wa nchi, amesema akijua anachosema.
Acha uongo wewe,kuna music tu mida hii
yaah wewe hata hesabu za kujumlisha na kutoa huwezi? angalia muda mada imewekwa hewani kabla hujakurupuka. hata mheshimiwa wetu hawezi kuhutubia masaa mawili. hizi ni akili za kuzaliwa huzipati popote.
a real man has spoken!! I second him!
mimi nimeangalia hiyo speach yote hakuna mahali amesema ni upuuzi kama ulivyosema hapo juu,alichosema ni rumors tu kwamba kenya ina nia ya kutenga nchi nyingine na ameenda mbali na kusema kutakua na uzinduzi wa kuunganisha reli hiyo kutoka voa hadi moshi!!!hii naona ame desa hotuba ya jk pale bungeni!!!
nadhani tatizo itakua ni lugha
Ujenzi wa reli kutoa ajira zaidi ya elfu 30. Ndio mradi mkubwa kulioko yote EA.
Mkuu,it looks like we were barking at a wrong tree all along!! Wafanya biashara ndio wanampa kiburi/kichwa Kenyatta.Hiyo EAC itajengwa bila kushirikisha wenye nchi ambao ndiyo mnataka kuwaendeleza au ni utashi wa biashara?kama ni biashara kenya siyo mmbiya mzuri wa biashara kwani mara kadhaa imekwisha wakatia wenzake access na kuna wakati huyo huyo museveni alifikiria kuachana kabisa na kenya.Umoja wowote ule unapaswa kujengwa kwa kuaminiana na wote kuwa na dira na muelekeo mmoja na siyo mwanachama mmoja kujifanya kuwa yeye ndiye kiongozi na wengine wafuate nyayo.