Kenyans work illegally in our country

Kenyans work illegally in our country

Basi acheni kulalamika.

Tunaelalamika sisi au aliyeleta mada? sisi tunamjibu tu, kuwa Wafanyakazi wa Kitanzania ni wazembe. Na si huko kwenye elimu tu, kote. Tutaleta tunaoona wanafaa kutoka kokote kule, si Kenya tu.

Nyie bakini mnalalamika wanaletwa Wakenya sijui hawana vibali, mlitakaje ikiwa hamuwezi.
 
The thing is you don't pay well Tanzanians and all those excuses it's because they go for search of more green pastures!

No work no pay. Prove that you can work and see the results. We pay well, that is why Kenyans are coming in thousands to work in Tanzania.
 
The influx of Kenyans who illegally work in our country is a big problem whereby Kenyans dominate most of private school.

Tatizo ni kuwa IMMIGRATION OFFICERS wetu hawajui KIINGEREZA wakienda kwa WAKENYA wakianza kutupiwa KIINGEREZA cha KIKENYA hawaelewi chochote isipokuwa THE THE THE

Wanakimbia Wanaogopa kuumbuka Wanaona MABOMU yatawarindima... Wakirudi Maofisini - Wanadanganya Hawajaona ILLEGAL FOREIGNERS...

Ukienda kwenye Machimbo MENGI wenye kazi nzuri ni hao WAKENYA na KIMOMBO chao... sisi tuna DEGREE na tunafanya vizuri kazi lakini ku-communicate inakuwa SHIDA...

Na Wakenya wanavyojua kujipendekeza kwa WAZUNGU; SISI wabongo sababu ya ENZI za SIASA zetu hatukufundishwa kujipendekeza; LABDA sasa NCHI ya KIKWETE kila RAIS wa NCHI KUBWA ya KIGENI anayezuru nchini LAZIMA amuone MWANAE wanavyofanana...
 
Tena wangeongezwa zaidi ili kufidia uhaba wa manesi weledi nchini na kuleta "work ethics" za karne ya ishirini na moja kwenye hospitali zetu.

Nina mashaka na ama uraia wako ama ufahamu wako!
 
Incompetence is killing Tanzania. There's too much Kenya-phobias. My stand is "if the cap fit, let him/her wear it"
 
There is an iota of truth! the situation is even worse in English Medium Schools. Most Kenyans in the aforementioned schools are form four leavers with no teaching certificates. Their ability to communicate in English, which is full of Jaluo and Kikuyu accents, is what makes some Managers opt for them!
 
serikali yetu imekua king'ang'anizi kuhusu suala la working permit kwa wana afrika mashariki. Rwanda na Kenya zimekubaliana kuondoa working permit kwa raia zake. dunia ya sasa ni vigumu kuzuia kuepo kwa wageni haramu. hata ulaya na marekani wahamiaji haramu wapo. baadhi ya ndugu zetu wako ulaya na wanaishi kiharamu. kuwa na manesi na walimu wakenya kwangu mimi sioni kama ni tatizo. tuna upungufu wa walimu na manesi. hata hivyo serikali ijitahidi kuondoa working permit za kulipia ktk sekta ambazo tuna upungufu mkubwa wa wataalamu kwa mfano afya na elimu.
 
Instead of focusing your attention on our Eastern African brothers who are in our schools training our kids I suggest that you deal first with the illegal immigrants of Chinese and Indian origin who are busy peddling petty businesses and constructing substandard buildings in our cities and towns. In fact, I would suggest that we pass a law attracting educated and skilled foreigners especially Kenyans and Ugandans to come and assist us in areas where we are lacking skills and education is one of them. We could even naturalise them in the process.
Tata ! Illegal immigrants are illegal immigrants....no matter where they come from nor what they are doing in our country! No excuse on that, the immigration department should deal with them equally!
 
Last edited by a moderator:
Tunaelalamika sisi au aliyeleta mada? sisi tunamjibu tu, kuwa Wafanyakazi wa Kitanzania ni wazembe. Na si huko kwenye elimu tu, kote. Tutaleta tunaoona wanafaa kutoka kokote kule, si Kenya tu.

Nyie bakini mnalalamika wanaletwa Wakenya sijui hawana vibali, mlitakaje ikiwa hamuwezi.

Lets go back to square one.
huu udhaifu wote unasababishwa na sera mbovu za elimu nchini kutokana na kuwa na serikali dhaifu na viongozi legelege kutoka chama cha mapinduzi. sawa?
 
Lets go back to square one.
huu udhaifu wote unasababishwa na sera mbovu za elimu nchini kutokana na kuwa na serikali dhaifu na viongozi legelege kutoka chama cha mapinduzi. sawa?

Udhaifu ulitokea kwa Nyerere, Kikwete anaurekebisha.
 
Udhaifu ulitokea kwa Nyerere, Kikwete anaurekebisha.

Okay, Nyerere ameongoza taifa letu toka mwaka 1961 mpaka 1985 miaka 24, toka mwaka 1985 mpaka leo ni miaka 28, kabla ya kikwete wamekuwapo marais wengine wawili kutoka ccm.

Kama kuna mtanzania leo anapata kazi na anashindwa kuifanya kwa ufanisi ni wazi huyu hakupitia kwenye mfumo wa elimu uliokuwapo wakati wa mwalimu sababu watanzania hao kwa sasa umri wao si chini ya miaka arobaini. sasa sielewi hawa Kikwete anawarekebisha kwa mfumo upi?

Kizazi kinachofanya kazi sasa na kinachowaudhi nyie wawekezaji sio kizazi cha Nyerere wala sio cha Kikwete ni kile cha Mwinyi na Nkapa, au kwa kifupi ni kizazi cha ccm.

CCM ndio tatizo kubwa, mfumo wake wote wa uongozi ni mbovu.
 
Okay, Nyerere ameongoza taifa letu toka mwaka 1961 mpaka 1985 miaka 24, toka mwaka 1985 mpaka leo ni miaka 28, kabla ya kikwete wamekuwapo marais wengine wawili kutoka ccm.

Kama kuna mtanzania leo anapata kazi na anashindwa kuifanya kwa ufanisi ni wazi huyu hakupitia kwenye mfumo wa elimu uliokuwapo wakati wa mwalimu sababu watanzania hao kwa sasa umri wao si chini ya miaka arobaini. sasa sielewi hawa Kikwete anawarekebisha kwa mfumo upi?

Kizazi kinachofanya kazi sasa na kinachowaudhi nyie wawekezaji sio kizazi cha Nyerere wala sio cha Kikwete ni kile cha Mwinyi na Nkapa, au kwa kifupi ni kizazi cha ccm.

CCM ndio tatizo kubwa, mfumo wake wote wa uongozi ni mbovu.

Nyerere kauwa kila kitu nchi hii, kuanzia uchumi mpaka elimu, ndio maana unaona leo katika nchi zinazotuzunguka zilizotawaliwa na Muingereza, sisi ndio wa mwisho kielimu na kiufanisi.

Kikwete ndio kaanza kuifufuwa elimu, tunaona wakati wake vyuo vikuu zaidi ya 12 kwa miaka 7 tu, mashule mapya ya sekondari zaidi ya 5000 kwa miaka 7 tu, madogo hayo? ni nani aliyefanya katika hao marais wako wote zaidi ya Kikwete?

Elimu inapaa, uchumi unapaa, miundo mbinu inapaa, umee unapaa, maji yanapaa. Nyerere na wenzake aliowachaguwa walikuwa wapi?

Kumbuka, Kikwete hakuchaguliwa na Nyerere.
 
Nyerere kauwa kila kitu nchi hii, kuanzia uchumi mpaka elimu, ndio maana unaona leo katika nchi zinazotuzunguka zilizotawaliwa na Muingereza, sisi ndio wa mwisho kielimu na kiufanisi.

Kikwete ndio kaanza kuifufuwa elimu, tunaona wakati wake vyuo vikuu zaidi ya 12 kwa miaka 7 tu, mashule mapya ya sekondari zaidi ya 5000 kwa miaka 7 tu, madogo hayo? ni nani aliyefanya katika hao marais wako wote zaidi ya Kikwete?

Elimu inapaa, uchumi unapaa, miundo mbinu inapaa, umee unapaa, maji yanapaa. Nyerere na wenzake aliowachaguwa walikuwa wapi?

Kumbuka, Kikwete hakuchaguliwa na Nyerere.

Noted, sasa hawa wanaomaliza kwenye hivyo vyuo vya kikwete si ndio unasema hawafui dafu kwa wakenya au nilikuwa sikuelewi zomba?
 
The influx of Kenyans who illegally work in our country is a big problem whereby Kenyans dominate most of private school.

ukienda arusha hayo mashule yanayoitwa ya inglish midiamu wako wengi kweli, na siku hizi wamegundua kamtindo kakuwaoa dada zetu ili wapate ardhi kirahisi, tanzania ni holela sana eti tuna vyombo vya usalama na intellijensia...ndio mana wanatudharau sana
 
In one of entrepreneurship theories highlights that one of the favorable/ideal environment for doing business and which would guarantee you maximum profit/returns is where there is little/less government intervention it is unfortunate that most locals lack entrepreneurial mind sets as such leaving room for foreigners to capitalize on the same now unless an external push is exerted unto us we don't at all think entrepreneurial.Given our systems failure and the likes pave way for every foreigner to do whatever he/she wishes to do provided the means of taking care of contingencies are available(cut,baksheesh,oiling fee et al).Its high time now to our leaders to think and act entrepreneurial in any area that they are in for the well being of this nation and its people.
 
Instead of focusing your attention on our Eastern African brothers who are in our schools training our kids I suggest that you deal first with the illegal immigrants of Chinese and Indian origin who are busy peddling petty businesses and constructing substandard buildings in our cities and towns. In fact, I would suggest that we pass a law attracting educated and skilled foreigners especially Kenyans and Ugandans to come and assist us in areas where we are lacking skills and education is one of them. We could even naturalise them in the process.

great thinking...If we can learn anything about US unprecedented growth over the last 100 yrs or so is that they benefited greatly from immigration. positive immigration would be much welcomed economically as long we give these skilled immigrants incentives like citizenship to save and invest their earnings here instead of exacerbating the problem of capital flight.

When it comes to all sensitive area of land ownership, we can put in place rules i,e a naturalized citizen can only own land in one's adopted country after permanently residing in that country for an uninterrupted period of 10 years or more and other similar rules to counter those who are only interested in land grabbing and not else.

I concur Hawa wahindi na wachina ni hatari zaidi kwetu kuliko waganda, zambia, malawi au wakenya
 
We have to be careful when we blame immigration of illegal aliens. The immigration department only issue permits to stay in Tanzania to any alien when supported by other departments such as Labour, who are responsible to justify the reason to work in the country. If Labour laws are flawed then we will have influx of aliens whom Immigration department will have no control.
 
Noted, sasa hawa wanaomaliza kwenye hivyo vyuo vya kikwete si ndio unasema hawafui dafu kwa wakenya au nilikuwa sikuelewi zomba?

It took 24 years of Nyerere and another 20 Years of his puppets to destroy everything in this country.

It took Kikwete 5 Years to rescuscitate it, and now he is in his 2nd Year of ensuring development in all sectors is achieved in the unparalleled and unprecedented speed. Do you know it took only 2 Years to have the first intake of students at UDOM since its inception? that is a world record for your information.
 
It took 24 years of Nyerere and another 20 Years of his puppets to destroy everything in this country.

It took Kikwete 5 Years to rescuscitate it, and now he is in his 2nd Year of ensuring development in all sectors is achieved in the unparalleled and unprecedented speed. Do you know it took only 2 Years to have the first intake of students at UDOM since its inception? that is a world record for your information.

Can you tell us about the quality of education offered at udom?
 
Back
Top Bottom