tumechemsha
miji ya Kenya kwaweli imepangika..
kuna point moja muhimu sana ndugu zangu, msisahau pirates katika bahari ya Hindi ambao pia ni wasomalia wanaishi Kenya na mamilion ya dollars wanayo yapata kwakazi hio yanakwenda Kenya kununua na kujenga majumba ya kifahari kama hayo.
Hii JF imejaa wakenya tupu nn???
i dont think most of you have been to nakuru, kenya but it is africa's fastest growing city and the fourth fastest in the world.
nakuru, kenya
nakuru, kenya by findingnimo, on flickr
nakuru, kenya by findingnimo, on flickr