Bugucha
JF-Expert Member
- Jan 3, 2020
- 2,972
- 12,363
MMadereva wao bado tunawapima, kipimo kiko pale pale....hakuna kuingia hivi hivi kama unayeingia chooni.
Acha uwongo,madereva wanapimwa na kila nchi mwenueji na kupewa Cheti,alafu,ujue kwamba,hata madereva wenu wanapimwa kabla ya kuingia TZ.nyinyi sasa hivi ndio mnaongoza kwa Corona hapa EA!