Kenya: Wanawake wawili wafariki baada ya mkanyagano wakati wa kupokea chakula cha msaada

Sasa South Africa inaingiaje hapa?, au thamani ya maisha ya mkenya ni ndogo sana ukilinganisha na maisha ya watu wa Africa kusini?.

Kwanini unataka kujilinganisha na Afrika Kusini katika mambo ya hovyo pekee?, kumbuka Afrika Kusini wameizidi Kenya kwa mbali sana karibu maeneo yote, ni bora kujilinganisha nao katika mambo mazuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Comprehension is very important my friend. Tunaongelea mambo ya mafukari wakipigania chakula, na ndio maana na sema haya mambo hutokea kila mahali. Umenielewa?
 
South Africa inawaua Watanzania.
Egypt inanyanyasa Nchi za Great lakes kupitia mto Nile.
Algeria Nchi ya Waarabu walioandamana kumng'atua Rais Boutefika.

Morocco Nchi ya Waarabu inayoinyanyasa Western Sahara na pia wali-promise Tz watawajengea Uwanja was Mpira...bado plan ziko kuzinduliwa stage.

Mauritius Nchi na kisiwa Cha Wahindi na Waarabu matajiri Kama wale wako Tanzania.

KENYA nchi jirani yake Tanzania, Uganda, S.Sudan, Ethiopia na Somalia. Nchi ya Kenya ni Nghi ya Asali na Maziwa. Waulize ombaomba wa Tanzania ni wapi ukanda huu wanaweza tengeneza hela nyingi Kama Sio Kenya.
Nyani ni kiumbe chenye kufurahisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
South Africa inawaua Watanzania.
Egypt inanyanyasa Nchi za Great lakes kupitia mto Nile.
Algeria Nchi ya Waarabu walioandamana kumng'atua Rais Boutefika.

Morocco Nchi ya Waarabu inayoinyanyasa Western Sahara na pia wali-promise Tz watawajengea Uwanja was Mpira...bado plan ziko kuzinduliwa stage.

Mauritius Nchi na kisiwa Cha Wahindi na Waarabu matajiri Kama wale wako Tanzania.

KENYA nchi jirani yake Tanzania, Uganda, S.Sudan, Ethiopia na Somalia. Nchi ya Kenya ni Nghi ya Asali na Maziwa. Waulize ombaomba wa Tanzania ni wapi ukanda huu wanaweza tengeneza hela nyingi Kama Sio Kenya.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1416215
Wanawake wakiwa katika msururu wa kupokea chakula

Wanawake wawili wamefariki huko Kibra siku ya Ijumaa katika zoezi la kuwania chakula kilichokuwa kikigawiwa katika eneo hilo.

Inaripotiwa kuwa wanawake hao wenye umri wa miaka ya 30 hivi, walikufa kwa kukosa hewa baada ya kujikuta kwenye mkanyagano.

Afisa wa polisi wa Kibra Andrew Musaisi alisema wanawake hao walikufa masaa machache baada ya kuondoka katika eneo ambapo mgao wa chakula kilichochangwa na wasamaria wema ulikuwa ukifanyika.

Inasemekana wawili hao walipata majeraha ya ndani na walikufa wakati wakikimbizwa hospitalini kwa matibabu.

Watu kadhaa pia walijeruhiwa katika tukio hilo.

======

Two women died in Kibra on Friday after an intense struggle to acquire foodstuffs that were being donated in the area.

It is reported that the women in their mid 30s died as a result of suffocation after they were caught in the stampede.

Kibra police boss Andrew Musaisi said the women died a few hours after leaving the distribution center.

It is reported that they sustained internal injuries and died while being rushed to hospital for medical care.

Several people were also injured in the melee.

Good Samaritans had given donations of foodstuffs through the office of the deputy commissioner.

This was to cushion vulnerable families against hunger following stringent measures effected by the government in the fight against the Covid-19 pandemic.

Most Kenyans have been urged to work from home and there is a daily curfew from 7pm to 5am which has reportedly reduced opportunities for work for those living in slums.

In an investigative feature aired on Citizen TV last week, one woman revealed how she would leave her home in Kibra at 6am in search of laundry work.

However, she would return in the evening with no money or food as most people remained confined in their houses.

The spread of coronavirus has greatly disrupted the lives of such women who live in Nairobi’s informal settlements.

On Friday, questions were abound over the manner in which the food distribution was carried out with no guidelines for social distance.

Chanzo: Citizen Tv
Kwahiyo kwenye huo msongamano hawawezi kuambukiza korona ila wakitoka kwenda kujitafutia chakula wenyewe ndiyo wanaambukizana ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na bado mlimuona JPM hana akili aliposema kuna nchi 8 zinatutegemea.

Imagine hapo hatujafunga mipaka jirani zetu wameanza kukipata cha moto. Je tukifunga si watakufa waishe kabisa?

God save us
na mutapata wapi soko la mazao yenu wakati nyinyi munanuka ufukara??? haha
 
Hizo nafaka angalau tungeongeza thamani na kuwauzia, pengine ingepunguza hayo maumivu tunayopata toka kwao; lakini akili zetu zinajua kutoa shambani na kusafirisha. Siku moja watatuuzia unga wa mahindi tunayowauzia sisi.

Uchumi walipokuwa hapa walishaanza kazi hiyo.
limeni kwa wingi. soko liko na pesa pia ipo.
 
Tanzania kwa sasa hakuna mzunguko mzuri wa pesa, huku majirani wamefunga mipaka na huku pia gonjwa la Corona linazidi kuota mizizi.
hali ni mbaya sana.
Hapo pembeni ya mji si kuna Nairobi National Park ni kwenda huko usiku kujitafutia kitoweo
 
Back
Top Bottom