Gamal Sankara
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 294
- 264
Comprehension is very important my friend. Tunaongelea mambo ya mafukari wakipigania chakula, na ndio maana na sema haya mambo hutokea kila mahali. Umenielewa?Sasa South Africa inaingiaje hapa?, au thamani ya maisha ya mkenya ni ndogo sana ukilinganisha na maisha ya watu wa Africa kusini?.
Kwanini unataka kujilinganisha na Afrika Kusini katika mambo ya hovyo pekee?, kumbuka Afrika Kusini wameizidi Kenya kwa mbali sana karibu maeneo yote, ni bora kujilinganisha nao katika mambo mazuri.
Sent using Jamii Forums mobile app