Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,668
- 40,914
Nakusamehe bure kwakuwa una dalili zote za njaa.utakufa masikini kwenye nchi ya umasikini.
Nakusamehe bure kwakuwa una dalili zote za njaa.utakufa masikini kwenye nchi ya umasikini.
nakuonea huruma sana... ningekutumia kitu chochote kwenye Mpesa yako uwache kulialia mitandaoniNakusamehe bure kwakuwa una dalili zote za njaa.
Tulis dawa ikuingie. Raidi wenyu yuko unakunywa beer state house hukunakufa na njaa. Si mumwambie aige hata jirani zenyu UG tu. Kuiga ulaya hawezina mutapata wapi soko la mazao yenu wakati nyinyi munanuka ufukara??? haha
jifunze kuandika.... kubwa jingaTulis dawa ikuingie. Raidi wenyu yuko unakunywa beer state house hukunakufa na njaa. Si mumwambie aige hata jirani zenyu UG tu. Kuiga ulaya hawezi
We jamaa uneshaisikia English ya wakenya? Ni mbovu kweli kweliElimu ya Kenya ine irrelevant . Haiwapi Akili ya kufikiria minor things which need common sense.
Wakenya akishajua kuongea English basi anajua kashapata Elimu.
Matatizo yote yaanzia hapo.
Naona njaa imekubamba mpaka umeshindwa kutofautisha typos za keyboard ya simu. Vipi ukupata mgao wa msosi huko waliko kanyagana ?jifunze kuandika.... kubwa jinga
Ndio sababu nikakuambia usijilinganishe katika ujinga, kila kitu kinatokea everywhere, hiyo isiwe sababu kwamba ikitokea kwako liwe ni jambo la kawaida, siku zote tunapigania mafanikio na mambo mazuri, sasa kama South Afrika wana "Xenophobia" ikitokea Kenya ni sawa kwasababu inatokea South Afrika?Comprehension is very important my friend. Tunaongelea mambo ya mafukari wakipigania chakula, na ndio maana na sema haya mambo hutokea kila mahali. Umenielewa?
Afrika kusini hioHi sio Afrika ya kusini kweli?
Agenda yako ni KENYA.Ndio sababu nikakuambia usijilinganishe katika ujinga, kila kitu kinatokea everywhere, hiyo isiwe sababu kwamba ikitokea kwako liwe ni jambo la kawaida, siku zote tunapigania mafanikio na mambo mazuri, sasa kama South Afrika wana "Xenophobia" ikitokea Kenya ni sawa kwasababu inatokea South Afrika?
Sent using Jamii Forums mobile app
South Africa inawaua Watanzania.
Egypt inanyanyasa Nchi za Great lakes kupitia mto Nile.
Algeria Nchi ya Waarabu walioandamana kumng'atua Rais Boutefika.
Morocco Nchi ya Waarabu inayoinyanyasa Western Sahara na pia wali-promise Tz watawajengea Uwanja was Mpira...bado plan ziko kuzinduliwa stage.
Mauritius Nchi na kisiwa Cha Wahindi na Waarabu matajiri Kama wale wako Tanzania.
KENYA nchi jirani yake Tanzania, Uganda, S.Sudan, Ethiopia na Somalia. Nchi ya Kenya ni Nghi ya Asali na Maziwa. Waulize ombaomba wa Tanzania ni wapi ukanda huu wanaweza tengeneza hela nyingi Kama Sio Kenya.
Hizi ndio akili.za ki mido inkamu,South Africa inawaua Watanzania.
Egypt inanyanyasa Nchi za Great lakes kupitia mto Nile.
Algeria Nchi ya Waarabu walioandamana kumng'atua Rais Boutefika.
Morocco Nchi ya Waarabu inayoinyanyasa Western Sahara na pia wali-promise Tz watawajengea Uwanja was Mpira...bado plan ziko kuzinduliwa stage.
Mauritius Nchi na kisiwa Cha Wahindi na Waarabu matajiri Kama wale wako Tanzania.
KENYA nchi jirani yake Tanzania, Uganda, S.Sudan, Ethiopia na Somalia. Nchi ya Kenya ni Nghi ya Asali na Maziwa. Waulize ombaomba wa Tanzania ni wapi ukanda huu wanaweza tengeneza hela nyingi Kama Sio Kenya.
Ajabu kweli, Tazama hizi ndio hadhi ya nchi za middle Income
South Africa
Egypt
Morocco
Mauritius
Algeria
Angalia maisha kwenye hizo nchi na ulinganishe na Kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unatoka nje ya madaSouth Africa inawaua Watanzania.
Egypt inanyanyasa Nchi za Great lakes kupitia mto Nile.
Algeria Nchi ya Waarabu walioandamana kumng'atua Rais Boutefika.
Morocco Nchi ya Waarabu inayoinyanyasa Western Sahara na pia wali-promise Tz watawajengea Uwanja was Mpira...bado plan ziko kuzinduliwa stage.
Mauritius Nchi na kisiwa Cha Wahindi na Waarabu matajiri Kama wale wako Tanzania.
KENYA nchi jirani yake Tanzania, Uganda, S.Sudan, Ethiopia na Somalia. Nchi ya Kenya ni Nghi ya Asali na Maziwa. Waulize ombaomba wa Tanzania ni wapi ukanda huu wanaweza tengeneza hela nyingi Kama Sio Kenya.
Ikiwa Kenya kuna elimu bora,basi africa hatuna elimuIkikuja swala la elimu hauwezi linganisha hizo nchi mbili. Ukweli usemwe!
Ikikuja swala la elimu hauwezi linganisha hizo nchi mbili. Ukweli usemwe!