KENYA : Wananchi wataka wimbo 'Nipe Nyonyo' kuondolewa kwenye mtandao wa YouTube

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,267
687db9f8599e9fa3c82e923fabb5d5de.jpg
Mkurugenzi wa Bodi ya Filamu nchini Kenya, Ezekiel Mutua, amekemea wimbo ambao ameeleza una mashairi yanayotatanisha ambao umekuwa gumzo nchini Kenya kwa siku za hivi karibuni unaokwenda kwa jina la 'Nipe Nyonyo'.

Katika wimbo huo wenye utata mkubwa unadaiwa kuwa ni wimbo wa dini ulioimbwa na SBJ, anamuomba Mungu ampe Nyonyo kitu ambacho kimekemewa vikali na viongozi mbalimbali
c8a5dea99040668ab277dadb08857f96.jpg
Mkurugenzi huyo amekemea vikali matumizi ya lugha hiyo na kusema kuwa baadhi ya watu wanatumia kigezo cha dini kuandika tungo zenye utata na kufikisha ujumbe unaotafsiriwa vibaya kwenye jamii

Huo si ubunifu hata kidogo, tatizo kubwa la wasanii wanadhani kuwa wakiandika mashairi yenye utata watapata watazamaji au wasikilizaji wengi sababu kila mtu atataka kujua nini amesema, alisema Mutua

Mkurugenzi huyo alisema kuwa uchunguzi kuhusu wimbo huo unaendelea. Lakini wakati wimbo huo huo wananchi wengi wakenya wametaka wimbo huo kuondolewa kwenye mtandao wa YouTube.
 
Kenya, tatizo ni lugha ya Kiswahili ambayo imekuwa janga la kitaifa iwe ktk matumizi ya kidini, kiutawala(uendeshaji serikali) au ki-dunia n.k
 
jamaa inawezekana alikuwa anania nzuri tu hila kiswahili kimekuwa kigumu kwako na hili ni tatizo kwa wakenya wengi nnakumbuka kuna mkenya alinileta mzigo kumwambia shusha ananiambia nnatukana ananiambia sema shukisha ukisema shusha ni tusi.
 
jamaa inawezekana alikuwa anania nzuri tu hila kiswahili kimekuwa kigumu kwako na hili ni tatizo kwa wakenya wengi nnakumbuka kuna mkenya alinileta mzigo kumwambia shusha ananiambia nnatukana ananiambia sema shukisha ukisema shusha ni tusi.
Hahaha...
shusha = cum
 
Back
Top Bottom