Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,330
Sasa hivi ni mwendo wa mwaga mboga sisi tumwage ugali.
Wakenya wameanza kuzuia bidhaa toka Tanzania na kuanza kuzipima upya ili kuzikagua ubora ilihali kulikua na makubaliano ya kwamba bidhaa zikishapimwa na TBS ziingie Kenya bila kikwazo...na sisi tumeamua kuanza kuzipima za kwao. Ni ujinga ujinga ambao unawacost wafanyabiashara na raia wa kawaida.
Tanzania, Kenya now row over border screening
Wakenya wameanza kuzuia bidhaa toka Tanzania na kuanza kuzipima upya ili kuzikagua ubora ilihali kulikua na makubaliano ya kwamba bidhaa zikishapimwa na TBS ziingie Kenya bila kikwazo...na sisi tumeamua kuanza kuzipima za kwao. Ni ujinga ujinga ambao unawacost wafanyabiashara na raia wa kawaida.
Tanzania, Kenya now row over border screening