Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Kuna majibu mengi mazuri yametolewa leo kwa maswali mengi ambayo yanaitatiza siasa za Afrika - upinzani na watawala. Lakini pia kuna maswali mengine yameachwa wazi ambayo majibu yake yataamua kama Tanzania inaweza "kufuata nyayo" za kidemokrasia ambazo zimeoneshwa na Kenya leo.. na zinatarajiwa kuoneshwa tena siku sitini baadaye: