Kenya ni failed state,ona hichi kituko kwenye elimu yao

Nani amesema bango liko Dar? Una wazimu wewe?

Tulia bwana mdogo. Mbona tangu mwanzo mnasema ni Tanzania??
😂🤣😁
Uache kuvutia bangi chooni. Utashangaa umebakiwa na akili ya kuvuka barabara na kurudi nyumbani.
🤣🤣🤣
 
Tulia bwana mdogo. Mbona tangu mwanzo mnasema ni Tanzania??
😂🤣😁
Uache kuvutia bangi chooni. Utashangaa umebakiwa na akili ya kuvuka barabara na kurudi nyumbani.
🤣🤣🤣
Kwani Tanzania nzima ni Dar tu?
 
Mnafanya juhudi kuhamisha Mada, hebu turudi kwenye topic, fungua hiyo Instagram post. Kenya sio nchi ni takataka..
Kuna Mkenya amekoment kuwa inatakiwa nchi ifungwe kwa mwaka hivi ili mfanye some serious renovations,

Wewe nilikuambia ukajifunze kingereza ndio ujadili na Wakenya chochote maana kitaboresha IQ yako, mada hata sijahangaika kujua inaongea kuhusu nini, nilisoma kichwa tu nikajua ni wale wale akina nyie wahangaikaji wa Buza mnaotafuta attention kwa Wakenya.
 
Wewe nilikuambia ukajifunze kingereza ndio ujadili na Wakenya chochote maana kitaboresha IQ yako, mada hata sijahangaika kujua inaongea kuhusu nini, nilisoma kichwa tu nikajua ni wale wale akina nyie wahangaikaji wa Buza mnaotafuta attention kwa Wakenya.
kwamba mkenya anatoa atention siku hizi.
 
Mkuu mimi nipo hapa Namanga Wakenya hawana time na mtu yeyote hata majirani wameishi miaka kadhaa mtaa mmoja hawajuani!!!
Hakuna chochote Sisi Ndio tunajihangaisha na wao.... Na wao wanahangaika na arobaini zao
endelea na maisha hapo namanga.

unategemea watu wa mpakani waishije,kama kuna muingiliano???
 
Kwani nyie hukesha huku mkifuata fuata kila Mkenya na kujibu kila comment ya Mkenya huwa mnasaka nini kama sio kiki....
kila mkenya!!!we popoma kweli,wakenya wote wako hapa!!!!

halafu hii ni platform ni ya tz,kwanini unataka kutupangia cha kufanya!!!
 
kila mkenya!!!we popoma kweli,wakenya wote wako hapa!!!!

halafu hii ni platform ni ya tz,kwanini unataka kutupangia cha kufanya!!!

Umekua kama danga kwa Wakenya humu, lazima ujibu kila comment, sasa sijui hukupa kiki gani hiyo au huwa unapiga nyeto.
 
Back
Top Bottom